BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,818
- 11,001
Jameni kama ilivyo ada sikukuu zimeanza na watu wanaachika,wapenzi kunuiana,ndoa zinakua ndoano ati kisa sikukuu,kama kulikua na mtu anamtaka mdada anampata sikukuu,wadada nawauliza je ndio mara ya kwanza kula sikukuu na wakaka na wababa je unadhani fujo hizi chanzo ni nini