Kimenuka mbaya: Shehe amtolea uvivu Jaqueline Wolper Gambe

Hapa tatizo sio huyu dada bali ni mungu mwenyewe.

Kama mungu anaju yote na hata yale ambayo hayajatokea, basi lazima alijua kuwa huyu binti ata rudi ukristo baadae.
Sasa kwanini aliruhusu hiyo ndoa itokee na huyu dada ahamehame dini?

Pia ni lazima mungu karuhusu huyu dada kurudi ukristo maana kama isinge kuwa hivyo, basi kurudi kwake ukristoni kungezuiliwa na mungu mwenyewe. Mungu si wa dini zote, au hataki ukristo tena? Inaonekana mungu wenu hajapinga ili swala; ni binadamu tuu mnatafusiri mambo kivyenu....

Wewe mpuuzi mkubwa tatizo Mungu?
 
sizani kama sheikh alimlenga wolper mojakwamoja hapa inaonekana wenye gazeti walimfata sheikh wakamuuliza kuhusu mtu kuhama dini hovyohovyo leo huku kesho kule keshokutwa karudi sasa mwandishi ndo akataka kujua kwa uislam unasemaje ndo majibu akatoa, kama unavyojua shigongo at work huwa hawana kuremba ndo wakaandika hivyo, sizani kama sheikh anamjua jack
 
"Hakuna aliyekosea wala hakuna aliye sahihi" woooote mnajikanyaga ndani ya falsafa hii na kwa hatima yenu mtagombana na uhai wenu kanakwamba msiende kwa mungu wenu.

aliyenielewa ani PM.
 
dini ni mpango wa wanadamu kumfikia mungu, hakika hakuna dini itakayowafikisha kwa mungu.

fuatni wokovu, ambao ni mpango wa mungu kuwaokoa wanadamu.ivo namshauri shehe aokoke mara moja, na aachane na mpango wa allah kwani unampeleka kusiko
 
Hapa tatizo sio huyu dada bali ni mungu mwenyewe.

Kama mungu anaju yote na hata yale ambayo hayajatokea, basi lazima alijua kuwa huyu binti ata rudi ukristo baadae.
Sasa kwanini aliruhusu hiyo ndoa itokee na huyu dada ahamehame dini?

Pia ni lazima mungu karuhusu huyu dada kurudi ukristo maana kama isinge kuwa hivyo, basi kurudi kwake ukristoni kungezuiliwa na mungu mwenyewe. Mungu si wa dini zote, au hataki ukristo tena? Inaonekana mungu wenu hajapinga ili swala; ni binadamu tuu mnatafusiri mambo kivyenu....

sidhani kama watu watakuelewa, binafsi nimekuelewa sana. Asante kwa kutazama mada kwa jicho la tatu!
 
Kweli Jamaa ni mpuuzi. Tatizo si Mungu, tatizo ni allah mungu wa magaidi na mpenda ngono anayewapa wanaume mabikira 72 na vijito vya kilevi kule kwake. Tehe! ��������
Hahahaaaaaaaaaa
 
Hawa mabanti wa kikristo nao wanaudharalisha ukristo mno yani wao mtu akitoka tu dubai akija na janjajanja ya kutaka kuwaoa hao fasta waishabadil dini kwa tamaa tu,

ukristo ni dini salama, haupandi wa kushuka hadhi kwa matendo ya binadam. Yesu kesha maliza kila kitu ni wewe tu kuamua kumfuata au kumsusa.

"japokuwa dhambi zenu ni nyekundu kama bendera, nitazisafisha na kuwa myeupe kama theluji".
 
Hapa tatizo sio huyu dada bali ni mungu mwenyewe.

Kama mungu anaju yote na hata yale ambayo hayajatokea, basi lazima alijua kuwa huyu binti ata rudi ukristo baadae.
Sasa kwanini aliruhusu hiyo ndoa itokee na huyu dada ahamehame dini?

Pia ni lazima mungu karuhusu huyu dada kurudi ukristo maana kama isinge kuwa hivyo, basi kurudi kwake ukristoni kungezuiliwa na mungu mwenyewe. Mungu si wa dini zote, au hataki ukristo tena? Inaonekana mungu wenu hajapinga ili swala; ni binadamu tuu mnatafusiri mambo kivyenu....

alafu ukiitwa kafiri unaanza kutoa povu.
 
dini ni mpango wa wanadamu kumfikia mungu, hakika hakuna dini itakayowafikisha kwa mungu.

fuatni wokovu, ambao ni mpango wa mungu kuwaokoa wanadamu.ivo namshauri shehe aokoke mara moja, na aachane na mpango wa allah kwani unampeleka kusiko

kumshaur shehe kuokoka sawa lakini hiyo "mara moja" haipo kwa Kristo. yeye huita kwa sauti ya upole akibembeleza huku akijua ukaidi wako nini madhara yake.
 
Ni kama unaandika usichokijua. Mungu hawezi kuwa tatizo. Binadamu una free will ya kuchagua.

Sasa kama binadamu ana free will ya kuchagua, kwa nini mnampigia kelele huyo dada? Si kachagua kuingia uislamu na tena akaamua kuchagua kurudi kwenye ukristo, sasa tatizo ni nini hapo? Au free will ni pale tu mtu anapoacha ukristo na kuingia uislamu lakini kinyume chake hakuna free will?

Tiba

Tiba
 
Back
Top Bottom