Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,587
- 15,450
Ni ujinga sana kama kuwaza kuwa na miaka 34 ni UZEE!!!Hayo ni maneno tu ya wajinga kumchafua, hawezi kuwa na mtoto amfiche Ivan asijue, na Ivan angejua angesha lisema zamani kwa kuwa yeye ndie alie achia hiyo video ya Zari. Haya ni maneno ya watu wanao ona kuzaa ni jambo la aibu na ndio wenye akili kama za Wema kutoa mimba eti usizae baado mdogo, ujinga mtupu.
No wonder watu kama hao kwao mtu akifikisha miaka 40 ndio anavunja record ya kuishi