Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Magari yote ni ya Ivan Zari hana gari hata moja pale (naongelea yale makali,labda kama ana ka vits kake)
Unakumbuka mwanae alivyomuumbua kwa kusema magari ni ya baba yake?
Hata kama wema akihongwa mwisho wa siku ni magari yake.
Na nyumba walizonazo ni za watoto Ivan kamuachia sababu ya watoto.
Kama ana Sonara wema nae ana boutique, na bado ni msichana akifikia umri wa Zari akili zitamkaa sawa nae afanye ya maana.
#AgeDifference
Hana boutique wala ushuzi wa sonara vyote vilikua baada ya kuachana na Ivan kama kuna mwenye ushahidi ivyo vitu vipo alete hapa...kazi kubwa alokua nayo ilikua kuja Tanzania kulala na katunzi mume wamtu na kulipwa sasa amepata kibarua cha kuchamba Instagram...nyumba hana tena narudia tena hana hawana tofauti na wema yeye anastiriwa na kulea watoto tu...ile nyumba ingekua anaimiliki angeshampeleka mtoto wa tandale hata kushinda kama sio kulala kabisa lakini subutu Ivan atavunja chelewa za mtoto wa tandale wanabaki kwenda kupigana mikasi mahotelini
 
Hivi ndoa ni kitu cha ajabu sana eeh? Halafu hizi ni fake ID tu dada,don't act like unanijua sana.
Nikujue sana kwa kipi?aliyesema anayekujua nini nani?kama unajua hizi ni fake ID mbona unaniita dada ikiwa hata jinsia yangu huijui?Sinaga muda wa kuargue ryt......hii JF tunapita tu tukiwa free,we have a lot of things to accomplish.
 
Umeongea Gold tupu mkuu. Hivi utoto na uzee unapimwa kwa idadi ya watoto? Kwa umri?

Maana watu humu ndani wanamuona Zari ni mzee simply because ana miaka 30+ lakini huyu mwenye 25+ anaonekana mtoto. Kuna wanawake wanaanza kuzaa at 20 yrs na wengine at 30+ sasa yupi atakuwa mtoto na yupi mzee kwa kigezo cha watoto?

Ukiona mtu humu anamwita huyu mwingine ni mtoto basi ujue huyo naye ana fake ideas or hajui utu uzima unapimwa kwa vigezo gani
Mahaba kwa Wema wanamfanya azidi kudorora badala ya kufanya maendeleo, kila siku anajisikia mtoto kwa kuwa anaitwa mtoto, but hao hao ndio watakuja mcheka watakapo muita mzee lofa, wakati huo Wema hata kumbuka lini alikuwa kijana.
 
Hivi hili suala la ndoa si mlikuwa mnakataa?
Leo kisa mali ndio unaongelea ndoa?
Hahahaaaa mwanamke yule Zari kashindikana,alishatumbukia kwenye maji kubatizwa kisa mipesa ya Ivan,sijui Domo alishamsilimsha bibie?
Ha ha ha we si umeisema ndoa ya asili sasa mbona tena waikana as if hujaongea
Kawaida hiyo mwanamke kumfata mwanaume akipata mkristu anabatizwa akipata muislamu anaslimu as long as wamekubaliana no probleme
 
Nikujue sana kwa kipi?aliyesema anayekujua nini nani?kama unajua hizi ni fake ID mbona unaniita dada ikiwa hata jinsia yangu huijui?Sinaga muda wa kuargue ryt......hii JF tunapita tu tukiwa free,we have a lot of things to accomplish.
Mimi nilikuwa na argue na Evelyn,akawa anaelezea mambo ya ndoa,ghafla ukarukia ndoa anazijua Mamndenyi,unajuaje kama mimi sijui?
Jinsia yako siijui na wala sitaki kuijua.
Nimekuita dada sababu ya ID yako,kama wewe ni dume na unajiita miss ni poa tu maana hayanihusu.
 
Nikujue sana kwa kipi?aliyesema anayekujua nini nani?kama unajua hizi ni fake ID mbona unaniita dada ikiwa hata jinsia yangu huijui?Sinaga muda wa kuargue ryt......hii JF tunapita tu tukiwa free,we have a lot of things to accomplish.
mmmh,huku mnakoelekea sasa hii vita kati ya wema na zari,naona itabadili muelekeo sasa!acheni bana,endeleeni tu na ajenda ya huu uzi ka kawaida.
 
Hana boutique wala ushuzi wa sonara vyote vilikua baada ya kuachana na Ivan kama kuna mwenye ushahidi ivyo vitu vipo alete hapa...kazi kubwa alokua nayo ilikua kuja Tanzania kulala na katunzi mume wamtu na kulipwa sasa amepata kibarua cha kuchamba Instagram...nyumba hana tena narudia tena hana hawana tofauti na wema yeye anastiriwa na kulea watoto tu...ile nyumba ingekua anaimiliki angeshampeleka mtoto wa tandale hata kushinda kama sio kulala kabisa lakini subutu Ivan atavunja chelewa za mtoto wa tandale wanabaki kwenda kupigana mikasi mahotelini
Hahahahaaa halooooo SIERA umenipa raha moyoni,eti atavunja nini?
 
Mimi nilikuwa na argue na Evelyn,akawa anaelezea mambo ya ndoa,ghafla ukarukia ndoa anazijua Mamndenyi,unajuaje kama mimi sijui?
Jinsia yako siijui na wala sitaki kuijua.
Nimekuita dada sababu ya ID yako,kama wewe ni dume na unajiita miss ni poa tu maana hayanihusu.
Ha ha ha huna chakuongea.....am free kuchangia anything I want,nilimquote Evelyn n not you.Pumba tu
 
Bora wangechomekea kitu kinachoendana na jukwaa hili ningewaona wamaana sasa mambo ya elimu si yana jukwaa lake au we unawaona wajanja ???
mkuu mi mwenywe nimebaki kushangaa tu kama anavoshangaa mleta uzi uko aliko!cwezi waona wajanja aise,ujanja ni kuleta kitu sahihi pahala sahihi,lakini hawa hawajafanya ivo...huwezi kuwaita wajanja
 
mmmh,huku mnakoelekea sasa hii vita kati ya wema na zari,naona itabadili muelekeo sasa!acheni bana,endeleeni tu na ajenda ya huu uzi ka kawaida.
Ha ha ha huku tunakuja mara moja Mona coz kushapotezaga mvuto siku nyingi....but kuna watu wanaona ndo kazi.
 
Ha ha ha huna chakuongea.....am free kuchangia anything I want,nilimquote Evelyn n not you.Pumba tu
Ulimquote Evenly aliyekuwa ana argue na mimi.
Sina cha kuongea kama nini kwa mfano?
Well na mimi niko free kuchangia/kusema chochote na nimeshasema,kwahiyo unataka nini?
 
mmmh,huku mnakoelekea sasa hii vita kati ya wema na zari,naona itabadili muelekeo sasa!acheni bana,endeleeni tu na ajenda ya huu uzi ka kawaida.
Tulia kijana,enjoy the show..
Hapa chaji tu iko low na umeme hamna nakasirikaje?
Hii ndio raha ya JF bwana.
 
Ulimquote Evenly aliyekuwa ana argue na mimi.
Sina cha kuongea kama nini kwa mfano?
Well na mimi niko free kuchangia/kusema chochote na nimeshasema,kwahiyo unataka nini?
Ha ha ha seems upo desperate.....I can't deal with u.Upo too low.
 
Hana boutique wala ushuzi wa sonara vyote vilikua baada ya kuachana na Ivan kama kuna mwenye ushahidi ivyo vitu vipo alete hapa...kazi kubwa alokua nayo ilikua kuja Tanzania kulala na katunzi mume wamtu na kulipwa sasa amepata kibarua cha kuchamba Instagram...nyumba hana tena narudia tena hana hawana tofauti na wema yeye anastiriwa na kulea watoto tu...ile nyumba ingekua anaimiliki angeshampeleka mtoto wa tandale hata kushinda kama sio kulala kabisa lakini subutu Ivan atavunja chelewa za mtoto wa tandale wanabaki kwenda kupigana mikasi mahotelini
Mimi niliwaambia hawa mbuzi, kama Zari ana pesa na magari ni ya kwake alete hata gari moja bongo na si kubanana kwenye kile ki BMW...
 
Mimi nilikuwa na argue na Evelyn,akawa anaelezea mambo ya ndoa,ghafla ukarukia ndoa anazijua Mamndenyi,unajuaje kama mimi sijui?
Jinsia yako siijui na wala sitaki kuijua.
Nimekuita dada sababu ya ID yako,kama wewe ni dume na unajiita miss ni poa tu maana hayanihusu.
Achana na wapiga deki kwa Diamond.. Zari kama ana pesa na magari ni yake alete moja tu bongo.. Kwani hapo Uganda ni mbali??
 
Back
Top Bottom