Mzee Mchopu
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,031
- 268
Nifah una malice aforethought dhidi ya zari maana umebase kumchoma pekee aloanzisha hizo mambo ni team wema sema team wema hua wanatafuta sababu. Hii instagram ije ifungwe tu akiingia Mr Donald Trump wa republican maana waafrica tumekua wavivu na watumwa wa hizi mitandao halaf na hizi team mavi ndo huletaga chokochoko na innuendo .Shoga nyumba yenyewe ni mpya ile,naona walikuwa wanaishi kule jikoni!
Hahahahaaa
WEMA KWANI ANGEKAA KIMYA ANGEPUNGUKIWA NINI?? ye wema anajiona mtoto mdogo ee mtu na miaka 28 ashakua bibi. Awaze maisha yake ya baaden aache uchochezi wa team sizomaana
Na wewe zari hivi hao watu wanaokutukana na kukufata kwenye account yako ukiwachunia utapungukiwa nini
Ushakua mama wewe ni kioo kuna watu wanajifunza toka kwako haya mambo achana nayo ndo wasababisha kina nifah wapate ubuyu wa kuleta humu heb zari na wema achaneni na hiz mambo tena ukizingatia zari wewe ni b'ness tycoon
Umeanza hustle tangu miaka ya 1999 way back haya mambo madogo yasiharibu status yako.
Wema saiv ulipaswa uwe bize kuwapa elim watanzania juu ya masuala mbali mbali ya kijamii kule kwa jiran zangu wakerewe hua hawachimbi vyoo hata ukawape elim au tumia hiyo instagram kuwapa watu changamoto kwa maana we kioo mi naamin miss tanzania always ni miss tanzania na haibadiliki