Geee
JF-Expert Member
- Nov 11, 2012
- 465
- 93
Kwani kuna ugumu gani kumsema mtu vibaya ukiwa umejificha sehemu? Teknolojia imezalisha watu wenye ujasiri wa ajabu.
Kuhusu elimu ya darasani, huyo binti hamna kitu. Lakini hilo si kosa lake maana huenda karithi toka kwa mamake.
Hivi kwa kumwangalia tu yule mamake, unadhani ana uwezo wa kiakili wa kumudu masomo ya darasani kweli?
Haya hapa chini ndo wanayoyaweza:
Halafu hapa kaachia bonge la tusi...sijui 'hanithi malowani ibilisi wa biisi'......sasa kama huyo ndo mama mtu, mwanae unategemea awe tofauti naye kweli? Mtoto wa pundamilia hawezi kuwa na mabaka kama ya chui.
Ha ha ha 57 ana figa km mtoto wa miaka 12 khaaa..wema asilaumie,kumbe shida ipo kwa bi mkubwa wake