Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Wakati wanaandikishiana contract ulikuwepo, nyinyi ndio mnakazi yakutoa false witness mana mwenyewe kakwambia zake ww unang'ang'ania si zake, lol.
Hata km kaiza jina huoni km anaelewa thamani yake means jina lake ni brand. Hebu ww jaribu kuuza jana lako la Evelyn Salt. Hi hii hiii km huyojinunua mwenye
Ww umelipa?? Wakati hata maji hujalipa ha ha ha ha. Kodi unadaiwa kazi ya kuwa na majina fake ili usengenye watu
Hahahahaaa wewe mwanamke sikuwezi, sio kwa vichambo hivi!!!!
 
Wakati wanaandikishiana contract ulikuwepo, nyinyi ndio mnakazi yakutoa false witness mana mwenyewe kakwambia zake ww unang'ang'ania si zake, lol.
Hata km kaiza jina huoni km anaelewa thamani yake means jina lake ni brand. Hebu ww jaribu kuuza jana lako la Evelyn Salt. Hi hii hiii km huyojinunua mwenye
Endeleeni Kukubali nyinyi huo uongo wake mie hapana hivi kama mtu anaweza kujisingizia kanunua nyumba tsh milioni 400 wakat ni uongo leo hii anashindwa nini kusingizia lipstick ni zake no pleaseeee
Neno lako ni irrelevant mi sio staa ntauzaje jina sasa
 
Endeleeni Kukubali nyinyi huo uongo wake mie hapana hivi kama mtu anaweza kujisingizia kanunua nyumba tsh milioni 400 wakat ni uongo leo hii anashindwa nini kusingizia lipstick ni zake no pleaseeee
Neno lako ni irrelevant mi sio staa ntauzaje jina sasa
Hivi Kyln nae brand eeeeh?ha ha ha tufanye joint venture mpnz.
 
Zari alijibu kwa mafumbo tu alipost picha akiwa na diamond akaandika "bae who texted us"
Haijalishi ni ya mapenzi au biashara ila ndo hivooo alituma meseji haikujibiwa bora alikaushiwa kwani kasahau nini kwa diamond ha aha ha ha
Huu sasa ni ushamba, ina maana ukiachana na mtu ndio mnakuwa maadui hadi msiwasiliane?
Mnakataa nini kuwa Zari sio mswahili?
Ex wa bwanako kamtext bwanako unapost instagram kwa mafumbo?
Huu ni zaidi ya uswahili.
Kilichopo Zari hajiamini, angekuwa anajiamini asingeendekeza mambo ya kumfuatilia Wema.
Boss ladies wako busy na maisha yao bwana.
 
ahahah kujipendekeza vepee? mara aimbe wimbo wa diamond ahahaah uwiiiiii wema mwaka huu ataipata fresh, si yupo na idris jaman , kwa nn aaimpotezee diamond? atamfanya kaka wa watu ajihisi sio mwanaume
Pamoja na wanaume kadhaa waliojaribu kuziba pengo ila juhudi zimegonga mwamba, Luis munana hadi akaslimishwa maskini, Idris sultan..... Hivi hawa hawana chululuu au chululuu zao hazifanyi kazi
 
Nyie ni team wema sijui ubaya ila hamtaki kujiweka wazi ndo mko mnajificha kwenye shamba la karanga hamjui kama mgongo unaonekana
Oh dear, hutujui hata chembe, uliza wenzio wanaotujua, hatujawahi kuwa team Wema wala Zari.
 
Huu sasa ni ushamba, ina maana ukiachana na mtu ndio mnakuwa maadui hadi msiwasiliane?
Mnakataa nini kuwa Zari sio mswahili?
Ex wa bwanako kamtext bwanako unapost instagram kwa mafumbo?
Huu ni zaidi ya uswahili.
Kilichopo Zari hajiamini, angekuwa anajiamini asingeendekeza mambo ya kumfuatilia Wema.
Boss ladies wako busy na maisha yao bwana.
We ushamove on na maisha vimeseji vya hi kwa ex wataka nini kama sio dyudyu, abiria chunga mzigo kaba hadi mate akitema nafukia ha ha ha ha yupo bize na maisha hata hayo ya instagram not maisha pia au mnadhani maisha yapo wapi
 
Ni muendelezo wa vita ya maneno isiyoisha kati ya anayejiita Zari The Bosslady na wa kuitwa Tanzanians sweetheart Wema Sepetu.

Vita hiyo imeendelea leo kwa Zari kuanza kumtupia mafumbo mwenzie Wema,wapambe wa Wema wakacharuka na kumuita boss wao Wema ambaye alitaharuki na kuuliza kipi kinachoendelea?

Ndipo mpambe wake anayejiita wemareplies alipomuwekea screen shot ya aliyoyasema Zari.

Wema nae akajibu huku akisisitiza hana muda na Zari wala kaka (Diamond)

Kama haitoshi akapost picha huku akiweka caption ya kuwa kafunzwa na mamie kugombana na watu wazima (Zari) ni kukosa adabu.

Ndipo Zari nae akamjibu kuwa yuko busy na kazi,asijisumbue.

Nimeatach na screen shots za matukio yote.....
View attachment 317643 View attachment 317644 View attachment 317645 View attachment 317646
View attachment 317731 View attachment 317643 View attachment 317644 View attachment 317645
Nifa hebu ni pm au vipi nije mimi nina shida na wewe
 
Wee jamaa ni mnafiki kama shetani Mwenye ujauzito wa miezi 6!! Mbona wewe 24/7 upo jf au wewe ni Moderator wa jf??
Una uhakika na unachoongea au unaongea kufurahisha genge mkuu act like a man mzee unakua Kama mwanamke
 
Hivi Kyln nae brand eeeeh?ha ha ha tufanye joint venture mpnz.
Tufungue tu duka la spea za boda boda na bajaji lipstick hazilipi ha ha ha no wateja pamoja na kufanya sale punguzo kubwa kabisaaaa bado hawanunui watejaaa watejaaa qmanyokoooo in remmy's voice
 
We ushamove on na maisha vimeseji vya hi kwa ex wataka nini kama sio dyudyu, abiria chunga mzigo kaba hadi mate akitema nafukia ha ha ha ha yupo bize na maisha hata hayo ya instagram not maisha pia au mnadhani maisha yapo wapi
Ndio ushamba wenyewe ninaouongelea sasa,kuachana sio uadui....
Hata wasipowasiliana wakiamua kupasha kiporo wanapasha tu.
Mwanamke kujiamini,msg ya X inakukosesha amani hadi unapost kwa mafumbo?
Huu ndio uswahili wenyewe sasa.
Heheheheee haloooo ya maisha ya Instagram!
 
Nafikiri zari angefocus kwenye kuweka meno ya bandia kwanza maana yale mapengo anayafichaga anakosa raha nayo kweli. Akicheka utakimbia. Hivi kweli domo unataka wowa huyu bibi mswahili namna hii mbona unalo domo, umekamatika unatamani kukimbia ujirushe na watoto wakare Wa bongo sema ndio hivyo tena bibi atamficha tiffa sauzi. Pole domo, msalimie rommy
Bila shaka zari atafanyia kazi ushauri wako mshauri na wema akajaze jaze vile viguu kama sindano surgery zipo
 
Tufungue tu duka la spea za boda boda na bajaji lipstick hazilipi ha ha ha no wateja pamoja na kufanya sale punguzo kubwa kabisaaaa bado hawanunui watejaaa watejaaa qmanyokoooo in remmy's voice
Ha ha ha ha loooh....au tununue ma bulldozer,kipindi hiki cha bomoabomoa tutapata faida.Entrepreneurial spirit ya kuuza bidhaa hana zaidi ya papuchi.
 
Ndio ushamba wenyewe ninaouongelea sasa,kuachana sio uadui....
Hata wasipowasiliana wakiamua kupasha kiporo wanapasha tu.
Mwanamke kujiamini,msg ya X inakukosesha amani hadi unapost kwa mafumbo?
Huu ndio uswahili wenyewe sasa.
Heheheheee haloooo ya maisha ya Instagram!
Hivo hivo ni kubana tu akilegezewa analeta mazoea hizo msgs akawatumie na kina tid munyama na mr Blue hata hao ni ma ex pia kwa baba tiffah imetosha Kwi kwi
 
Ha ha ha ha loooh....au tununue ma bulldozer,kipindi hiki cha bomoabomoa tutapata faida.Entrepreneurial spirit ya kuuza bidhaa hana zaidi ya papuchi.
Na tra wangesimamia kodi pale ile papuchi ingeongeza pato la taifa japo anategemea soko la ndani ila wateja anapata
 
Na tra wangesimamia kodi pale ile papuchi ingeongeza pato la taifa japo anategemea soko la ndani ila wateja anapata
Angeenda shule ingekuwa magoli sana.....sasa zero brain.Hajifunzi kwa kina kyln na Faraja.Asingekosa kazi katika sekta nzuri hapa nchini.Pussypower
 
Back
Top Bottom