Killings in Nigeria! (Graphic)

Pape

JF-Expert Member
Dec 11, 2008
5,488
79
If there was a time when the Church and Mosque needed
to pray was now! The world is worse now than Sodom and
Gomorrah please rise up and pray!!!!



May their souls rest in peace!
 

Attachments

  • MAMBO YA NIGERIA HAYO.pdf
    51 KB · Views: 194
Hatari sana hiii..
Mungu saidia Nigeria!
Ni katika jina la Yesu nimeomba na kushukuru!
 
Msishangae...mnapowashangilia majuha kama Mtikila wakiropoka ujinga wao kwa kufilisika maneno ya kuongea, halafu serikali inamwangalia tu, matokeo yake huwa hivi. Kumbuka Mtikila alipokuja na sera zake za chuki dhidi ya Ma*********, mie nilishuhudia kijana mmoja wa Kihidi ( poor youg boy indeed) kule Songea miaka ya 93 akishushwa kwenye gari pekee lililokuwa linaelekea Njombe : kisa Mhindi!!! Huu upumbavu wa mauaji kama haya huletwa na watu Charismatic kama hawa wanasiasa wetu , wanaocheka huku wakitamani damu. Ni vyema tukaungana kupungaza ghadhabu ambazo tayari zimeanza kujengeka kwa misingi ya kidini, kikabila na hata kiukanda. Hatari iliyopo Tanzania ni kubwa sana maana hata mijadala Bungeni imeanza kuwa ya mitizamo ya Kimakundi, Kikabila, na Kidini. Tunaelekea kubaya sana, tena kuliko hivyop ulivyoona. Who expected whta is haoppening in Kenya? Be warned ......
 
Very sad indeed.

To understand why these things are happening in Nigeria you need to know the powers behind the bloodshed.

They are caused by Satan's second in command and she is called the Queen of Heaven and she's a very wicked spirit and she's found in all cultures of the world.

Only those who have been washed by the precious blood of Jesus can overcome her and destroy her power.
 
If there was a time when the Church and Mosque needed
to pray was now! The world is worse now than Sodom and
Gomorrah please rise up and pray!!!!


.



Bila wao kufahamu wanamtandao wa Kikwete wameigawa jamii yetu kati ya wale wanaowadhania wana hati miliki ya nchi hii; kwahiyo kufaidi matunda yake, na wale wengine wasiostahili eti tu kwavile hawakumuunga mkono mtu wao mwaka 2005!! Upofu wao huo ndio unaipelekea nchi yetu kuwezekana kupatwa na dhahama kama inayowapata hao raia wa Nijeria!! Ubaguzi wa aina yeyote ile huzaa chuki!! Na chuki huzaa maafa!!
 
Inanikumbusha mwanzoni mwa miaka ya 90 kule Rwanda. Mambo yalianza hivi hivi.
 
Hii inanikumbusha 94 wakati wa genocide ya Rwanda na Burundi!
Nilifanikiwa kuongea na watu walioponea chupuchupu katika mauaji ya watutsi na wahutu huko Rwanda, wanasema vita sio nzuri..............
 
Back
Top Bottom