Milonji
Senior Member
- May 26, 2022
- 153
- 494
Habari members wote.
Tumetangaziwa kuwa kuna watu/Kampuni binafsi wamepewa vibali vya kuagiza mchele tani 90,000. Agizo hili limekuwa ni Mwiba (Kilio) kwa upande Mmoja na Neema (Kicheko) kwa upande mwingine
KILIO
Agizo hili ni kilio kwa;
1. Wafanya biashara ambao walitegemea Mchele upande Bei wakati wa Mfungo ili wapate kujinufaisha.
2. Wakulima, ni kilio kwao kwa sababu Mchele huu ukiingia sokoni utashusha Bei ya kununulia Mchele ulio mashambani.
3. Madali, kama ilivyo kwa wafanyabiashara kwao pia ni Kilio.
KICHEKO
Wanufaika wakubwa wa Mchele huu ambao ni kicheko kwao ni Pamoja na;
1. Wananchi wa kawaida.
2. Waislam watakao kuwa kwenye Mfungo.
3. Wakristu watakao kuwa kwenye mfungo.
NB:
Serikali ingeruhusu pia Sukari, Mafuta na Unga.
Tumetangaziwa kuwa kuna watu/Kampuni binafsi wamepewa vibali vya kuagiza mchele tani 90,000. Agizo hili limekuwa ni Mwiba (Kilio) kwa upande Mmoja na Neema (Kicheko) kwa upande mwingine
KILIO
Agizo hili ni kilio kwa;
1. Wafanya biashara ambao walitegemea Mchele upande Bei wakati wa Mfungo ili wapate kujinufaisha.
2. Wakulima, ni kilio kwao kwa sababu Mchele huu ukiingia sokoni utashusha Bei ya kununulia Mchele ulio mashambani.
3. Madali, kama ilivyo kwa wafanyabiashara kwao pia ni Kilio.
KICHEKO
Wanufaika wakubwa wa Mchele huu ambao ni kicheko kwao ni Pamoja na;
1. Wananchi wa kawaida.
2. Waislam watakao kuwa kwenye Mfungo.
3. Wakristu watakao kuwa kwenye mfungo.
NB:
Serikali ingeruhusu pia Sukari, Mafuta na Unga.