NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Jana vituo vya habari vikiwemo radio na televison wametangaza wananchi wa vijiji vya DODOMA wanakula UBUYU na wa Tanga hamna hata ubuyu wanakufa, na watoto wameeacha shule na ndoa zimevunjika wanaume wao wamekimbia kwenda kutafuta chakula na hawajarudi tena labda wengine mauti yamewakuta njiani. Serekali ichukue hatua za haraka na irudishe ule msaada wa ZIMBABWE wapatiwe hao wanachi wenzetu chakula wanaokufa.