Laptop01
JF-Expert Member
- Nov 29, 2009
- 1,365
- 796
Wana-JF tafadhali naombeni msaada wenu,
Hii kauli mbiu ya Serikali juu ya kilimo kwamba eti tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele mimi inanitatiza sana maana sijui tuethubutu lipi, tumeweza lipi kwenye kilimo ; na tunasonga mbele katika lipi lililojema katika kilimo. Hatuna zao lolote ambalo tunaongoza kwa kuuza nje ya nchi, kilimo bado ni cha jembe la mkono likisaidiwa kwa mbaaaaaaaali na jenereta iliyowekwa juu ya vyuma na kuitwa power tiller, matrekta yapo kwenye yard za maonesho katika maeneo mbalimbali ya Suma JKT, benki ya CRDB siyo ya watu wa Vijjiini tena!!
Sasa hii kauli mbiu inamaanisha nini kwa Mkulima wa Tanzania na watanzania kwa aujumla?
Hii kauli mbiu ya Serikali juu ya kilimo kwamba eti tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele mimi inanitatiza sana maana sijui tuethubutu lipi, tumeweza lipi kwenye kilimo ; na tunasonga mbele katika lipi lililojema katika kilimo. Hatuna zao lolote ambalo tunaongoza kwa kuuza nje ya nchi, kilimo bado ni cha jembe la mkono likisaidiwa kwa mbaaaaaaaali na jenereta iliyowekwa juu ya vyuma na kuitwa power tiller, matrekta yapo kwenye yard za maonesho katika maeneo mbalimbali ya Suma JKT, benki ya CRDB siyo ya watu wa Vijjiini tena!!
Sasa hii kauli mbiu inamaanisha nini kwa Mkulima wa Tanzania na watanzania kwa aujumla?