VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Wakuu kila biashara ina risk.., na wote tunajua kwamba uwezekano wa kulima na mvua kutonyesha ni mdogo sana na ukilima mara tatu atleast mvua itanyesha mara zote tatu au mbili na utapata faida na mazao ya kutosha
Kuna Jamaa yangu ninamjua yupo Manyara huwa kila mwaka anakodisha mashamba na kulima Alizeti, mahindi n.k. na huwa anaspend kama 4m na returns yake huwa ni kubwa sana hata kama mvua isiponyesha faida aliyopata mwaka jana inacover hasara zote ambazo huenda zikapatikana mwaka huu
Ila same place kuna story nimesikia jamaa alikopa Benki 60m akakodisha shamba na wafanyakazi wakalima maindi yakachipua kidogo na kuharibika baada ya kuona hivyo akafyeka kila kitu akaanza upya (same thing happened) na huyu jamaa kutoka kwenye zile 60m hakupata kitu chochote.(wasted time as well as 60m)
Conclusion:
Huenda kwa mtaji wa 4m mpaka 15m huenda hii ikawa biashara ya maana lakini zaidi ya hapo Risk inakuwa kubwa zaidi Hence Bahati Nasibu, Its not calculated risk kutumia 60m kwa jambo ambalo linategemea unknown factor ili lifanilkiwe, huenda its more calculated kutumia the same amount kwa kununua mazao kijijini na kuja kuyauza mjini at a profit... au wadau mnasemaje?
Kuna Jamaa yangu ninamjua yupo Manyara huwa kila mwaka anakodisha mashamba na kulima Alizeti, mahindi n.k. na huwa anaspend kama 4m na returns yake huwa ni kubwa sana hata kama mvua isiponyesha faida aliyopata mwaka jana inacover hasara zote ambazo huenda zikapatikana mwaka huu
Ila same place kuna story nimesikia jamaa alikopa Benki 60m akakodisha shamba na wafanyakazi wakalima maindi yakachipua kidogo na kuharibika baada ya kuona hivyo akafyeka kila kitu akaanza upya (same thing happened) na huyu jamaa kutoka kwenye zile 60m hakupata kitu chochote.(wasted time as well as 60m)
Conclusion:
Huenda kwa mtaji wa 4m mpaka 15m huenda hii ikawa biashara ya maana lakini zaidi ya hapo Risk inakuwa kubwa zaidi Hence Bahati Nasibu, Its not calculated risk kutumia 60m kwa jambo ambalo linategemea unknown factor ili lifanilkiwe, huenda its more calculated kutumia the same amount kwa kununua mazao kijijini na kuja kuyauza mjini at a profit... au wadau mnasemaje?