Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Mtalii toka Norway ambaye ni mpanda milima wa siku nyingi amejaribu kuweka rekodi ya kupanda Mlima Kilimanjaro kwa siku moja. Mtalii huyu alianza safari yake leo asubuhi tarehe 27/1/09 saa 11.30 pale Umbwe gate na ametumia masaa 7.19 hadi uhuru. Nitoapo taarifa hii ni kuwa ameshafika Millenium camp njiani kuja Mweka gate. Anatazamiwa kuwa Mweka gate saa yoyote kuanzia 10.30 jioni hii. Ninaelekea Mweka gate na nitawaletea yatakayojiri huko. Kwa wanaojua Kinorwegian tembelea www.jarletraa.no