platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,366
- 11,156
Usijali. Love yousweet...!!umenitelekeza?
Usijali. Love yousweet...!!umenitelekeza?
looohh!love u too!Usijali. Love you
na juvenile hahahah ngoja niachane na hii uziNaona thread za piga nikupige. Kesho watakuja akina monicca kulipa kisasi
Nahisi naibiwa. Nina mpango wa kwenda Kwa msisi kuchukua tegolooohh!love u too!
naona siku hizi mahaba yameondolewa na tetemeko la Bukoba
Hata hivyo si alificha, akaja kusema baadae.Kuwa na mtto ndo kumechukiza au ulikua na lingine? Maskini kakwambia ukweli je angekuficha ungejua badae sio vzr haujamtendea haki uyo mdada
wote ndio walewale msiopenda single motherHata hivyo si alificha, akaja kusema baadae.
ni mgeni wa wanawake....?? hata stories hizo hujawahi kuzisikia....? jiongeze!Cjadharau,alionyesha kuwa serious sana..kwann mambo ya msingi jana hayo asiyaweke wazi mapema?
wanawake wote ni mama zetu, dada zetu, binamu zetu na wake zetu pia....! heshima muhimu kalagabaho!Kwani dadaako?
Baby nobody can steal me from u!wa kwanza wa kwanza tu!!Nahisi naibiwa. Nina mpango wa kwenda Kwa msisi kuchukua tego
na wewe pia sikupendiwote ndio walewale msiopenda single mother
Huh mm mwenywe sikupendi kuliko unavyofkiliana wewe pia sikupendi
tukikutana tena njiani usiniongeleshe....wewe ngoja tuHuh mm mwenywe sikupendi kuliko unavyofkilia