Kilichonikuta leo lodge

Leo baada ya kutoka katika mizunguko yangu nikasema ngoja niende nikamsalimie rafiki yangu yeye anafanya kazi katika lodge moja.

Nilivyomcheki akaniambia bado yuko kazini nimpitie mzee nikatimba hapo kwenye lodge anayofanyia kazi, tukiwa tumekaa pale reception tunapiga story mbili tatu akaja jamaa mmoja anataka room akaambiwa bei akalipa baada ya hapo akapiga simu huku akisema njoo hapa lodge nishalipia room nipo chumba na 112.

Kukaa kidogo mtu anayekuja kuingia kwenye chumba cha huyo jamaa ni mama yake na rafiki yangu. Kwanza yule mama hakutegemea kunikuta pale maana alishtuka balaa kutoka nje alishindwa na kuingia ndani nako ilikuwa shida na mimi bila kujivunga nikamwambia mama shikamoo akaitikia.

Ikabidi aniite nje akaniambia mwanangu naomba unifichie siri mwanangu nisiadhirike huku akitoa wekundu kadhaa akinipatia halafu akazama ndani huku akiniachia maswali huku nje

Sijui yule mama amekosa nini kwa mume wake
Unaenda lodge kupiga storry? Uko form ngapi
 
Hela aliyokupa inaweza kuwa ndo hela aliyopewa na huyo jamaa yake na sidhani kama atakuwa na hisia tena za kugegedwa

Aligegedwa huku anawaza umemuona sijui kama utaweza kumtunzia siri
 
Kawaida sana. Kuna wengi wa aina hii. Sisi wanaume tunapata shida kubwa mno.

Mwanamke mama yako anakuambia live bila chenga nataka unikung'ute mpaka nijambe.

Mara tatu hiyo imenitokea nikawatoa out, sasa hivi nawahofu wasije kunipa sumu maana ni staffmates.
 
Kawaida sana. Kuna wengi wa aina hii. Sisi wanaume tunapata shida kubwa mno.

Mwanamke mama yako anakuambia live bila chenga nataka unikung'ute mpaka nijambe.

Mara tatu hiyo imenitokea nikawatoa out, sasa hivi nawahofu wasije kunipa sumu maana ni staffmates.
Endelea kuwapiga mzee

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hela aliyokupa inaweza kuwa ndo hela aliyopewa na huyo jamaa yake na sidhani kama atakuwa na hisia tena za kugegedwa

Aligegedwa huku anawaza umemuona sijui kama utaweza kumtunzia siri
Alimpa hela wakati ndo anaingia lodge kwA maana Iyo mama Ana hela zake sio za kusubiri agegedwe ndo apate hela
 
Leo baada ya kutoka katika mizunguko yangu nikasema ngoja niende nikamsalimie rafiki yangu yeye anafanya kazi katika lodge moja.

Nilivyomcheki akaniambia bado yuko kazini nimpitie mzee nikatimba hapo kwenye lodge anayofanyia kazi, tukiwa tumekaa pale reception tunapiga story mbili tatu akaja jamaa mmoja anataka room akaambiwa bei akalipa baada ya hapo akapiga simu huku akisema njoo hapa lodge nishalipia room nipo chumba na 112.

Kukaa kidogo mtu anayekuja kuingia kwenye chumba cha huyo jamaa ni mama yake na rafiki yangu. Kwanza yule mama hakutegemea kunikuta pale maana alishtuka balaa kutoka nje alishindwa na kuingia ndani nako ilikuwa shida na mimi bila kujivunga nikamwambia mama shikamoo akaitikia.

Ikabidi aniite nje akaniambia mwanangu naomba unifichie siri mwanangu nisiadhirike huku akitoa wekundu kadhaa akinipatia halafu akazama ndani huku akiniachia maswali huku nje

Sijui yule mama amekosa nini kwa mume wake
Mnaharibu biashara ya mtu. Unaenda lodge kuwazibia watu riziki zao. Pambafu kabisa
 
Back
Top Bottom