Soulbrother
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 405
- 14
Bia ya Kili ilizindua tangazo lake lipya wikendi hii, shooti ikianza pale Trinity bar na mnaji moja
Tangazo hilo wanaloliita Fikisha Tanzania Katika Hatua ya Juu Zaidi linafanyika katika mikoa minne Tanzania na linahusisha ubebaji wa bendera ya Tanzania kutoka Dar hadi kilele cha mlima Kili. Sources wanasema wabebaji watakimbia "from Dar to the Peak of Kilimanjaro Mountain"
Nasikia kuwa tangazo hili litakuwa na majina makubwa katika riadha kama vile Samwel Mwera,Simon Marwa na Wilbrod Gidaya pamoja na wanamuziki mbali mbali na litakuwa tangazo bomba kuliko yote.
Nawatafutieni picha
Watch this space for more!
Tangazo hilo wanaloliita Fikisha Tanzania Katika Hatua ya Juu Zaidi linafanyika katika mikoa minne Tanzania na linahusisha ubebaji wa bendera ya Tanzania kutoka Dar hadi kilele cha mlima Kili. Sources wanasema wabebaji watakimbia "from Dar to the Peak of Kilimanjaro Mountain"
Nasikia kuwa tangazo hili litakuwa na majina makubwa katika riadha kama vile Samwel Mwera,Simon Marwa na Wilbrod Gidaya pamoja na wanamuziki mbali mbali na litakuwa tangazo bomba kuliko yote.
Nawatafutieni picha
Watch this space for more!