- Thread starter
- #21
Ubarikiwe mwana wa Mungu.Asante Mungu kwa pumzi hii, sifa na utukufu viwe kwako ewe utatu mtakatifu, ndiwe peke yako Mungu mkuu!
( 1 Yohana 5:8-9).
"8: Kwa maana, wako watatu washuhudiao ( Mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu Hawa ni UMOJA.
9: Kisha wako watatu washuhudiao duniani) Roho, Maji na Damu, na watatu Hawa, hupatana Kwa habari Moja."
Jina la Baba, Jina La NENO, na Jina La Roho MTAKATIFU ndilo JINA moja la YESU kristo .
Amen