Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Mmh
jamani yaani mpaka basi ukisikia net,msaada wa marekani.bajeti msaada wa marekani yaani kila kitu kwa msaada wawatu wa marekani hii kitu inaisha lini mkuu wetu ??tumechoka na hao wamarekani ni binadamu wanamuda watachoka na hii kutoa misaada embu tujiangalie kidogo turudi kwenye matumizi je haya matumizi kama ya safari za nje atuwezi kusaidia kununua machandarua jamani tukapunguza hii li neno msaada wa watu wa marekani....???
jamani yaani mpaka basi ukisikia net,msaada wa marekani.bajeti msaada wa marekani yaani kila kitu kwa msaada wawatu wa marekani hii kitu inaisha lini mkuu wetu ??tumechoka na hao wamarekani ni binadamu wanamuda watachoka na hii kutoa misaada embu tujiangalie kidogo turudi kwenye matumizi je haya matumizi kama ya safari za nje atuwezi kusaidia kununua machandarua jamani tukapunguza hii li neno msaada wa watu wa marekani....???