Kikwete's Regime Exposed: Activists report to US Congressional Committees... For Your Eyes Only

Cjapata mbadala mwanaHALISI hadi leo hii Hakuna uhuru wa habari uliopindukia! uhuru ni uhuru tu mwanaHALISI afunguliwe
 
Mi huwa sifungamani upande wowote ila napenda anaekosoa ajikosowe kwanza hizi asasi zingine zimekaa kisiasa namii naona hawa jamaa wanafanya siasa zaidi ili wasikike wapate msaada kuliko wanavojiita WANAHARAKATI WAKUTETEA HAKI ZA BINAADAMU haki ipi ya kisiasa wanafiki mafisadi hao. Mbona hawaongelei umeme kwenda vijijini sio haki mafuta ya taa ambayo ni tegemezi kwa wananchi wengi wa kipato cha chini yamepanda kupunguza petrol ambayo hutumika na wenye pesa wamesema nini? Wangapi wanakufa kwa ajari kila siku barabarani tena za kizembe mbona wako kimya wangapi wafungwa kwa kubabikiwa wanafuatilia na kuwatetea? Na mambo kadha wa kadha hawasemi eti wanakuja kutetea gazeti na akiri za kabisa tena wengine ni wasomi wetu. Hilo gazeti linafika kijiji gani? Hata hapo Dar. Wananchi wangapi wana uwezo wa kugaramia gazeti? Kila siku. Kama nyie hamko kisiasa mlete majibu ya haya. Gazeti ambalo haliwezi kuwa zaidi albino wanauliwa, wala zaidi ya wale wananchi wanaouwawa na kunyofolewa viungo kule mara na mbeya.
 
Ndo maana tunasema hawa wanaojiita wanaharakati wa haki za binadamu ni maagenti wa kanisa. wameonyesha padri aliepigwa risasi kule zanzibar mbona hawajaonyesha yule shehe aliyemwagiwa tindikali. mbona hawajaonyesha mauaji ya muembechai? Je yale za Zanzibar jan 26/27 2001? na yule muislam aliyeuawa na wakristo kule shinyanga mbona sijamuona kwenye picha zao? vipi kuhusu viongozi wa CUF kupigwa na kukamatwa? na mengine mengi yanayofanana na hayo. kwa kweli wamedhirisha ukristo wao. pia kwa nini wameonyesha kikwete na viongozi wa kiarabu na wala si wakizungu ambao rasilimali zetu yakiwemo madini ndo wanaotuibia? inawezekana ikawa hawa mabaradhuli wametangaza vita rasmi, kwani wamejidhirisha kuwa ni maadui zetu.
The following is presentation of what its authors believe to be the political reality in the country right now following a number of violent acts against unarmed citizens, activists, politicians and journalists.

I'm not sure to which congressional committee this presentation was made or presented. Some of you might seen it already; if you have not then please be advised that it is gore and graphic and very explicit.

Please be advised not to open it in the presence of minors.
 
Ndo maana tunasema hawa wanaojiita wanaharakati wa haki za binadamu ni maagenti wa kanisa. wameonyesha padri aliepigwa risasi kule zanzibar mbona hawajaonyesha yule shehe aliyemwagiwa tindikali. mbona hawajaonyesha mauaji ya muembechai? Je yale za Zanzibar jan 26/27 2001? na yule muislam aliyeuawa na wakristo kule shinyanga mbona sijamuona kwenye picha zao? vipi kuhusu viongozi wa CUF kupigwa na kukamatwa? na mengine mengi yanayofanana na hayo. kwa kweli wamedhirisha ukristo wao. pia kwa nini wameonyesha kikwete na viongozi wa kiarabu na wala si wakizungu ambao rasilimali zetu yakiwemo madini ndo wanaotuibia? inawezekana ikawa hawa mabaradhuli wametangaza vita rasmi, kwani wamejidhirisha kuwa ni maadui zetu.

Mnafanya makosa makubwa kuliingiza kanisa kila sehemu. Watanzania wamechoshwa na serikali ya CCM. CCM in'golewe.
 
Mnafanya makosa makubwa kuliingiza kanisa kila sehemu. Watanzania wamechoshwa na serikali ya CCM. CCM in'golewe.
yes, nakubaliana na wewe kuwa ccm has to go. ila sikubaliani na dhana akiwa muislam pale ndo ccm ionekane mbaya. tumeona matamko mbalimbali ya viongozi wa makanisa kipindi hiki lakini maaskofu hao hao hatukuwasikia wakitoa matamko yao kipindi cha mkapa pamoja na ufisadi ulitamalaki kipindi chake. nani asiyejua mambo kama epa, kiwira, iptl, tangold mwananchi, kuuzwa nyumba za serikali kiholela na mambo mengine mengi yamefanywa kipindi cha mkapa, hao maaskofu walikuwa wapi kutoa mtamko kama kweli wana nia ya dhati. tumeona viongozi wanaosemekana wametuibia hela zetu kama akina lowasa wakigawa mamilioni huko makanisani na viongozi haohao wakiwashangilia, mbona hawaonyeshi kuchukia kivitendo? hao wanaoitwa wanharakati ndo sitaki hata kuwasikia. lastly, niseme tu yes ccm has to go, but in what way? this is acritical question to be answered.
 
yes, nakubaliana na wewe kuwa ccm has to go. ila sikubaliani na dhana akiwa muislam pale ndo ccm ionekane mbaya. tumeona matamko mbalimbali ya viongozi wa makanisa kipindi hiki lakini maaskofu hao hao hatukuwasikia wakitoa matamko yao kipindi cha mkapa pamoja na ufisadi ulitamalaki kipindi chake. nani asiyejua mambo kama epa, kiwira, iptl, tangold mwananchi, kuuzwa nyumba za serikali kiholela na mambo mengine mengi yamefanywa kipindi cha mkapa, hao maaskofu walikuwa wapi kutoa mtamko kama kweli wana nia ya dhati. tumeona viongozi wanaosemekana wametuibia hela zetu kama akina lowasa wakigawa mamilioni huko makanisani na viongozi haohao wakiwashangilia, mbona hawaonyeshi kuchukia kivitendo? hao wanaoitwa wanharakati ndo sitaki hata kuwasikia. lastly, niseme tu yes ccm has to go, but in what way? this is acritical question to be answered.

I strongly support ur thoughts. Mimi ni mkristo lkn nakubaliana na wewe kabisa kwamba matatizo ya rushwa, ufisadi, kujimilikisha mitambo na nyumba za serikali zilizoko prime areas ktk miji na majiji yetu, kuwafedhehesha viongozi wa vyama vya upinzani kama Mhe. Mrema na Mhe. Prof. Lipumba vitendo hivi viliasisiwa na serikali ya Mkapa.
 
The photos in the report are really touching and disturbing to look upon! I found myself breaking into tears! Unfortunately neither the US nor the UN are going to respond to this report. And if they do it is going to be in a very simple way! I say this because I know they only react quickly in countries where their interests are threatened! Right now they are fetching our resources for free taking gold, tanzanite, natural medicines, etc for almost free then why should they bother for people who are killed? Don't you see what is going in Congo? Congolese are keeping on fighting while the American's are taking their minerals for free! Look what is happening in Sudan, Nigeria, and Mali! They always take the advantage of your conflicts! We are the ones to fight for the injustices done to our fellow Tanzanians and not the Americans or outsiders! Westerner's are always there to break the African's eggs to make westerner's omelet! It's up to us Tanzanians and Africans to decide for the future we want!


The following is presentation of what its authors believe to be the political reality in the country right now following a number of violent acts against unarmed citizens, activists, politicians and journalists.

I'm not sure to which congressional committee this presentation was made or presented. Some of you might seen it already; if you have not then please be advised that it is gore and graphic and very explicit.

Please be advised not to open it in the presence of minors.
 
Habari za kuaminika kutoka kwenye mtandao wa kidiplomasia zinasema kwamba Rais Kikwete amepoteza mvuto kwa viongozi wa Marekani. Na hata akienda Marekani hawezi kupokelewa na viongozi wa nchi hiyo. Hii inafuatia taarifa iliyotumwa na wanaharakati wa haki za binadamu waliodai Kwamba Kikwete amegeuka kuwa na Dikteta na mlinda mafisadi. Chanzo chetu kimeendelea kusema kwamba, Rais Kikwete alipanga kwenda Marekani Mwezi December, lakini ghafla safari ikabadilika kutokana na taarifa alizopewa na foreign affairs kwamba mambo siyo mazuri kwa upande wake.

Hivi majuzi mwezi wa pili, kuna waraka mzito umetua pale foreign affairs, iliyoandikwa na Congressman mmoja iliyotaka majibu kuhusiana na tuhuma nzito dhidi ya serikali yetu hasa kuhusiana na haki za binaadam ikizingatiwa kwamba Marekani inatoa fedha nyingi sana za misaada kwa serikali ya Tanzania. Kama hizi taarifa ni za ukweli, basi tunawashukuru wanaharakati waliotuma ujumbe kwenda congress ya marekani.
 
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa. Watu wanatafuta mrithi wewe ndio unabeba mbeleko?
 
Mimi naomba wanaharakati wasiishie hapo. Waandae mashtaka ya kumpeleka Hague kwa mauaji aliyoamuru Tanzania.
 
Habari za kuaminika kutoka kwenye mtandao wa kidiplomasia zinasema kwamba Rais Kikwete amepoteza mvuto kwa viongozi wa Marekani. Na hata akienda Marekani hawezi kupokelewa na viongozi wa nchi hiyo. Hii inafuatia taarifa iliyotumwa na wanaharakati wa haki za binadamu waliodai Kwamba Kikwete amegeuka kuwa na Dikteta na mlinda mafisadi. Chanzo chetu kimeendelea kusema kwamba, Rais Kikwete alipanga kwenda Marekani Mwezi December, lakini ghafla safari ikabadilika kutokana na taarifa alizopewa na foreign affairs kwamba mambo siyo mazuri kwa upande wake.

Hivi majuzi mwezi wa pili, kuna waraka mzito umetua pale foreign affairs, iliyoandikwa na Congressman mmoja iliyotaka majibu kuhusiana na tuhuma nzito dhidi ya serikali yetu hasa kuhusiana na haki za binaadam ikizingatiwa kwamba Marekani inatoa fedha nyingi sana za misaada kwa serikali ya Tanzania.
Kama hizi taarifa ni za ukweli, basi tunawashukuru wanaharakati waliotuma ujumbe kwenda congress ya marekani.

Unawashukuru wanaharakati kwa jambo gani zuri walilolifanya. Kamwe usije ukafikiri matatizo yako ktk nchi yako yatatatuliwa na congress ya marekani. Let me tell you one thing. Motive kubwa ya marekani kufanya political interventions si ukiukwaji wa haki za binadamu pekee, bali ni matarajio ya maslah fulani ktk taifa husika. Na kama utawala uliopo wananufaika nao, they will never intervene hata kutokee kitu gani.

Ujumbe wangu hapa, ni kwamba matatizo yetu kama watanzania, tutayapatia ufumbuzi wa kudumu tukiyatatua sisi kama watanzania, na si congress ya marekani. Na hao watu w haki za binadamu, ni lazima wafahamu njia sahihi ya kutatua matatizo yetu tunayo sisi watanzania wenyewe, na wao wanatakiwa ku coordinate hilo. na sio kukwepa jukumu lao kwa kutuma picha za huruma kwa congress ya marekani.

Sasa congress wakisha mkasirikia what next? Of course wanaweza kumnyima misaada na vitu kama hivyo, but he will still be there na tutaendelea kuexperience even more difficulty!!!.

We need to believe on ourselves, and device appropriate methods of solving our only problems.
 
The US is now aware that Kikwete is a smiling terrorist! His hidden relationship with Iranian officials has drawn the international attention..
 
Apelekwe Hague kwa kesi ipi?

Chama
Gongo la mboto DSM
Hujamsikia anakiri hadharani kuwa aliwaamrisha polisi wadhibiti wapinzani? Tangu lini wapinzani wakawa wahalifu? Mauaji ya Mwangosi, ukatili wa Ulimboka na mauaji ya raia wasio na hatia Arusha na Morogoro. Yote yametokana na amri zake.
 
Apelekwe Hague kwa kesi ipi?

Chama
Gongo la mboto DSM
chama, vionozi wengi wa Kiafrika wakishapata madaraka hupumbaa na kufikiria fahari waliyo nayo bila kuona kwamba ipo siku wataachia nafasi hizo na kushika wengine. Matoke ni kuishia kuwa na maisha yasiyo na radhi mbele ya watu na kabisa dhamira zinapowashitaki kwa waliyo yafanya.

chama, pamoja na itikadi zetu, binafsi nawaonea huruma, they never think twice about their future. Mbaya zaidi sisi na ushabiki wetu tunawajengea mazingira hayo kuwa magumu zaidi.
 
Hujamsikia anakiri hadharani kuwa aliwaamrisha polisi wadhibiti wapinzani? Tangu lini wapinzani wakawa wahalifu? Mauaji ya Mwangosi, ukatili wa Ulimboka na mauaji ya raia wasio na hatia Arusha na Morogoro. Yote yametokana na amri zake.

Mkuu Jasusi
Endelea na hadithi za kusadikika; mkuu The Hague nayo mnataka kuigeuza kama mahakama ya Kisutu?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom