Kikwete vs wafanyakazi

Gama

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
13,266
4,716
Ndugu wafanyakazi,KIKWETE ni mwamba kwelikweli. Ona hii:"WAFANYAKAZI HATA MGOME MIAKA 8 SINA FEDHA YA KUONGEZA MSHAHARA". lakini kwa wiki 2 za kampeni katoa ahadi za TRILION 42. Wafanyakazi, hii inaingia akilini?
 
Kwa mwenye ufahamu hawezi kushangaa kwa sababu ndo muda wake wa kudanganya na akishapata hutamhoji.
 
Kwa mwenye ufahamu hawezi kushangaa kwa sababu ndo muda wake wa kudanganya na akishapata hutamhoji.
hii nimeipenda sasa ni kazi kwenu wafanya kazi kama mtakuwa maamuma wa kusoma alama za nyakati hii itawasaidia,
lakini kama mmefilisika mawazo na mtazamo mmekwisha, mtatumika ngazi ya kupandia tu, harafu badein mtakuwa majuto
 
Back
Top Bottom