KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Ikiwa ni mwendelezo wa kile ulichokifanya Canada na maeneo mengine ambayo labda hayakuripotiwa au ilifichwa katika mikataba ambayo imekuwa ikisaini katika nyakati tofauti. Kuna Matukio mengi yamekuwa yakiripotiwa kwa Raia wa kitanzania kufanyiwa matukio ya either kuzuriwa au mali zao kudhuriwa.Nafikiri ingekuwa busara tukio ulilolifanya Canada basi liwe replicated na Tanzania pia.Isiwe wao tu ndiyo wana umuhimu kuliko rai wako hata wao wanahaki ya msingi.
Hivi yale yaliyotokea Nyamongo na madhara yake yamezungumziwa kwenye huo mkataba uliosaini?makubaliano gani yanawalinda wakazi ya maeneo ambayo hawa mabwana wanafanya shughuli zao?
Wamekuwahi ili nasisi tufikie huku.
Wakati mwingine tunashawishika kuuliza maswali ambayo yanakera au kuwakwaza watu wengine ila we have too!
Jimwageoa ....Chambua,changia,pinga, bottomline Jenga hoja!
Hivi yale yaliyotokea Nyamongo na madhara yake yamezungumziwa kwenye huo mkataba uliosaini?makubaliano gani yanawalinda wakazi ya maeneo ambayo hawa mabwana wanafanya shughuli zao?
Wamekuwahi ili nasisi tufikie huku.
Wakati mwingine tunashawishika kuuliza maswali ambayo yanakera au kuwakwaza watu wengine ila we have too!
Jimwageoa ....Chambua,changia,pinga, bottomline Jenga hoja!