Mugo"The Great"
JF-Expert Member
- Oct 7, 2007
- 262
- 25
Vigogo watajwa kujipa fedha zilizotolewa BoT
Kampuni ambazo zinaonekana katika orodha ya zilizopendekezwa ama zilizopata fedha hizo ni pamoja na S & C Ginning Co.Ltd (yenye makao yake Bulamba), Simon Agency Ltd (Mwanza), Fresho Investment Co. Ltd (Shinyanga), Gaki Investment Co. Ltd (ya Shinyanga), Bedugu Ginning Co. Ltd (ya Musoma), Intergrated Cotton Fields Ltd ( ya Mwanza), Igunga Cotton Company (makao yake yako Dar es Salaam), Robasika-Agroproducts Ltd yenye makao yake Kaliua, Tabora na Chesano Cotton Ginnery yenye makao yake Bariadi, Shinyanga.
Pamoja na kuishi kwangu muda wote huu Kaliua-Ushokora, ndiyo mara yangu ya kwanza kuisikia Robasika-Agriproducts Ltd. Labda wazee wa Igagala mtueleze. Duh! nimechoka kabisa na hii nchi yetu.