Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
[h=6]Rais JAKAYA KIKWETE amesema kuwa Tanzania itaendelea kuunga mkono kwa dhati jitihada za Zimbabwe katika kutafuta muafaka wa kudumu wa kisiasa na daima itaendelea kushikamana na wananchi wa Zimbabwe katika jitihada hizo[/h]