Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,909
- 94,288
Naomba pindi Tz itakapoungana na rafiki zake China & Russia kulaaani mauaji ya kikatili ya Osama bin Laden na majeshi ya America. Asante
Chizi sio lazima atembee uchi barabarani.
Naomba pindi Tz itakapoungana na rafiki zake China & Russia kulaaani mauaji ya kikatili ya Osama bin Laden na majeshi ya America. Asante
na si rahisi kuwatambua pia coz hawana alama...matendo yao na matamshi yao ndo yanasababisha kuwatambua kama ulivyoweza kumtambua,:happy:Chizi sio lazima atembee uchi barabarani.
hana vision, hana plan, hana lolote. yaani yupo yupo tu ili mradi yupoyupo. he is a joke. simpendi kama nini! 6 years in power, nothing tangible delivered. kazi kuchekacheka tu. what a president is this? ivi Mungu ana mpango gani na sisi Watanzania?
Dah! tuombe radhi Utingo! waliompa ushindi ni NEC mkuu