Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Kamati yake ya Kampeni inaongozwa na hawa wafuatao:
1. Abdulrahman Kinana- Muislam
2. Yusuph Makamba-Muislam
3. Salma Kikwete- Muislam
4. Miraji Kikwete- Muislam
5. Ridhiwan Kikwete- Muislam
6. Rashid Shamte- Muislam
7. Mohamed Garib Bilal- Muislam
Kampeni zake zinachagizwa kwa mbwembwe na madaha zikihusisha Radio Iman, Raio Quran, Sauti ya Adhana.
Awali magazeti ya Annuur na Alhuda yalikuwa yakimtukana Slaa kwa matusi ya Ubaguzi uliopitiliza,serikali haijakemea wala haikuona kama hiyo ni tishio la umwagaji damu badala yake wakatishia magazeti makini ya Mwananchi na Mwanahalisi.
Leo imedhihirika kuwa matusi yote yaliyoelekezwa kwa Slaa(PhD) toka kwenye magazeti hayo yanayomilikiwa na Taasisi za kiislam yalilenga kumnufaisha JK(BA Economics) na ndio maana hayajakemewa na serikali.
Gazeti la Alhuda leo limekuja na kichwa cha habari JK ASUBIRI KUAPISHWA kichwa kingine SLAA AZIKATAA KURA ZA WANAWAKE WA KIISLAM.
Gazeti la Taifa Tanzania ambalo linahaririwa na Prionce Bagenda chini ya mwamvuli wa Mafisadi limekuja na habari ya kupika ambayo inawafarakanisha waislam na wakristo. Habari hiyo ipo kwenye frontpage ya kijarida hicho.
Mtazamo wangu, JK ni mdini, na kama ni hivyo nchi hii chini ya utawala wake kama akifankiwa kuiba kura na kutangazwa mshindi atawezaje kuyaunganisha makundi haya hasimu kwa imani za dini?
Rafiki yangu mmoja mkristo ameachana na mwanamke wake wa siku nyingi kwa sababu za siasa zilizoegemea kwenye udini. Mwanamke pamoja na kutambua kuwa JK hajui na hawezi kutawala amesisitiza kuwa atamchagua JK kwakuwa tu ni dini moja na ya kwake. Zogo likazidi na hivi sasa tupo kwenye kusuluhisha.
Tuna kazi kubwa baada ya Uchaguzi!
1. Abdulrahman Kinana- Muislam
2. Yusuph Makamba-Muislam
3. Salma Kikwete- Muislam
4. Miraji Kikwete- Muislam
5. Ridhiwan Kikwete- Muislam
6. Rashid Shamte- Muislam
7. Mohamed Garib Bilal- Muislam
Kampeni zake zinachagizwa kwa mbwembwe na madaha zikihusisha Radio Iman, Raio Quran, Sauti ya Adhana.
Awali magazeti ya Annuur na Alhuda yalikuwa yakimtukana Slaa kwa matusi ya Ubaguzi uliopitiliza,serikali haijakemea wala haikuona kama hiyo ni tishio la umwagaji damu badala yake wakatishia magazeti makini ya Mwananchi na Mwanahalisi.
Leo imedhihirika kuwa matusi yote yaliyoelekezwa kwa Slaa(PhD) toka kwenye magazeti hayo yanayomilikiwa na Taasisi za kiislam yalilenga kumnufaisha JK(BA Economics) na ndio maana hayajakemewa na serikali.
Gazeti la Alhuda leo limekuja na kichwa cha habari JK ASUBIRI KUAPISHWA kichwa kingine SLAA AZIKATAA KURA ZA WANAWAKE WA KIISLAM.
Gazeti la Taifa Tanzania ambalo linahaririwa na Prionce Bagenda chini ya mwamvuli wa Mafisadi limekuja na habari ya kupika ambayo inawafarakanisha waislam na wakristo. Habari hiyo ipo kwenye frontpage ya kijarida hicho.
Mtazamo wangu, JK ni mdini, na kama ni hivyo nchi hii chini ya utawala wake kama akifankiwa kuiba kura na kutangazwa mshindi atawezaje kuyaunganisha makundi haya hasimu kwa imani za dini?
Rafiki yangu mmoja mkristo ameachana na mwanamke wake wa siku nyingi kwa sababu za siasa zilizoegemea kwenye udini. Mwanamke pamoja na kutambua kuwa JK hajui na hawezi kutawala amesisitiza kuwa atamchagua JK kwakuwa tu ni dini moja na ya kwake. Zogo likazidi na hivi sasa tupo kwenye kusuluhisha.
Tuna kazi kubwa baada ya Uchaguzi!