Kikwete ni mdini?

Mzito Kabwela

JF-Expert Member
Nov 28, 2009
18,857
7,618
Kamati yake ya Kampeni inaongozwa na hawa wafuatao:
1. Abdulrahman Kinana- Muislam
2. Yusuph Makamba-Muislam
3. Salma Kikwete- Muislam
4. Miraji Kikwete- Muislam
5. Ridhiwan Kikwete- Muislam
6. Rashid Shamte- Muislam
7. Mohamed Garib Bilal- Muislam
Kampeni zake zinachagizwa kwa mbwembwe na madaha zikihusisha Radio Iman, Raio Quran, Sauti ya Adhana.
Awali magazeti ya Annuur na Alhuda yalikuwa yakimtukana Slaa kwa matusi ya Ubaguzi uliopitiliza,serikali haijakemea wala haikuona kama hiyo ni tishio la umwagaji damu badala yake wakatishia magazeti makini ya Mwananchi na Mwanahalisi.
Leo imedhihirika kuwa matusi yote yaliyoelekezwa kwa Slaa(PhD) toka kwenye magazeti hayo yanayomilikiwa na Taasisi za kiislam yalilenga kumnufaisha JK(BA Economics) na ndio maana hayajakemewa na serikali.
Gazeti la Alhuda leo limekuja na kichwa cha habari JK ASUBIRI KUAPISHWA kichwa kingine SLAA AZIKATAA KURA ZA WANAWAKE WA KIISLAM.
Gazeti la Taifa Tanzania ambalo linahaririwa na Prionce Bagenda chini ya mwamvuli wa Mafisadi limekuja na habari ya kupika ambayo inawafarakanisha waislam na wakristo. Habari hiyo ipo kwenye frontpage ya kijarida hicho.
Mtazamo wangu, JK ni mdini, na kama ni hivyo nchi hii chini ya utawala wake kama akifankiwa kuiba kura na kutangazwa mshindi atawezaje kuyaunganisha makundi haya hasimu kwa imani za dini?
Rafiki yangu mmoja mkristo ameachana na mwanamke wake wa siku nyingi kwa sababu za siasa zilizoegemea kwenye udini. Mwanamke pamoja na kutambua kuwa JK hajui na hawezi kutawala amesisitiza kuwa atamchagua JK kwakuwa tu ni dini moja na ya kwake. Zogo likazidi na hivi sasa tupo kwenye kusuluhisha.
Tuna kazi kubwa baada ya Uchaguzi!
 
naomba tuwachukulie kama watanzania kwanza..! kama watafanya mambo bila kubagua dini then mie sioni tatizo..!

mm ni mkristu ...ila sipendi kuhesabu watu kulingana na dini ama makabila yao..!

lingekuwa suala la kadhi au OIC ....hapo huwa nakuwa mbogo..!
 
kikwete ni mdini sana. hata ukipitia wizara zote angalia idadi ya waislam kuanzia makatibu wakuu mpaka wakurugenzi wasaidizi. tuwe wakweli jamani. huyu jamaa ni mdini wa chinichini anakwenda kwa vitendo tu. lakini tabia yake hiyo itamtokea puani tarehe 31 oktoba 2010.
 
mbaya zaidi serikali haijawahi hata japo kukemea vijarida hivyo vya kiislamu vinavyoleta udini ktk nchi yetu...........serikali haiwezi kukemea wala kuchukua hatua kwa sababu vijarida hivyo vina tetea uislamu na uislamu ndiyo dini ya viongozi wa juu wa serikali ambao ni akina kikwete na vinyamkela vingine
Kamati yake ya Kampeni inaongozwa na hawa wafuatao:
1. Abdulrahman Kinana- Muislam
2. Yusuph Makamba-Muislam
3. Salma Kikwete- Muislam
4. Miraji Kikwete- Muislam
5. Ridhiwan Kikwete- Muislam
6. Rashid Shamte- Muislam
7. Mohamed Garib Bilal- Muislam
Kampeni zake zinachagizwa kwa mbwembwe na madaha zikihusisha Radio Iman, Raio Quran, Sauti ya Adhana.
Awali magazeti ya Annuur na Alhuda yalikuwa yakimtukana Slaa kwa matusi ya Ubaguzi uliopitiliza,serikali haijakemea wala haikuona kama hiyo ni tishio la umwagaji damu badala yake wakatishia magazeti makini ya Mwananchi na Mwanahalisi.
Leo imedhihirika kuwa matusi yote yaliyoelekezwa kwa Slaa(PhD) toka kwenye magazeti hayo yanayomilikiwa na Taasisi za kiislam yalilenga kumnufaisha JK(BA Economics) na ndio maana hayajakemewa na serikali.
Gazeti la Alhuda leo limekuja na kichwa cha habari JK ASUBIRI KUAPISHWA kichwa kingine SLAA AZIKATAA KURA ZA WANAWAKE WA KIISLAM.
Gazeti la Taifa Tanzania ambalo linahaririwa na Prionce Bagenda chini ya mwamvuli wa Mafisadi limekuja na habari ya kupika ambayo inawafarakanisha waislam na wakristo. Habari hiyo ipo kwenye frontpage ya kijarida hicho.
Mtazamo wangu, JK ni mdini, na kama ni hivyo nchi hii chini ya utawala wake kama akifankiwa kuiba kura na kutangazwa mshindi atawezaje kuyaunganisha makundi haya hasimu kwa imani za dini?
Rafiki yangu mmoja mkristo ameachana na mwanamke wake wa siku nyingi kwa sababu za siasa zilizoegemea kwenye udini. Mwanamke pamoja na kutambua kuwa JK hajui na hawezi kutawala amesisitiza kuwa atamchagua JK kwakuwa tu ni dini moja na ya kwake. Zogo likazidi na hivi sasa tupo kwenye kusuluhisha.
Tuna kazi kubwa baada ya Uchaguzi!
 
Kamati yake ya Kampeni inaongozwa na hawa wafuatao:
1. Abdulrahman Kinana- Muislam
2. Yusuph Makamba-Muislam
3. Salma Kikwete- Muislam
4. Miraji Kikwete- Muislam
5. Ridhiwan Kikwete- Muislam
6. Rashid Shamte- Muislam
7. Mohamed Garib Bilal- Muislam
Kampeni zake zinachagizwa kwa mbwembwe na madaha zikihusisha Radio Iman, Raio Quran, Sauti ya Adhana.
Awali magazeti ya Annuur na Alhuda yalikuwa yakimtukana Slaa kwa matusi ya Ubaguzi uliopitiliza,serikali haijakemea wala haikuona kama hiyo ni tishio la umwagaji damu badala yake wakatishia magazeti makini ya Mwananchi na Mwanahalisi.
Leo imedhihirika kuwa matusi yote yaliyoelekezwa kwa Slaa(PhD) toka kwenye magazeti hayo yanayomilikiwa na Taasisi za kiislam yalilenga kumnufaisha JK(BA Economics) na ndio maana hayajakemewa na serikali.
Gazeti la Alhuda leo limekuja na kichwa cha habari JK ASUBIRI KUAPISHWA kichwa kingine SLAA AZIKATAA KURA ZA WANAWAKE WA KIISLAM.
Gazeti la Taifa Tanzania ambalo linahaririwa na Prionce Bagenda chini ya mwamvuli wa Mafisadi limekuja na habari ya kupika ambayo inawafarakanisha waislam na wakristo. Habari hiyo ipo kwenye frontpage ya kijarida hicho.
Mtazamo wangu, JK ni mdini, na kama ni hivyo nchi hii chini ya utawala wake kama akifankiwa kuiba kura na kutangazwa mshindi atawezaje kuyaunganisha makundi haya hasimu kwa imani za dini?
Rafiki yangu mmoja mkristo ameachana na mwanamke wake wa siku nyingi kwa sababu za siasa zilizoegemea kwenye udini. Mwanamke pamoja na kutambua kuwa JK hajui na hawezi kutawala amesisitiza kuwa atamchagua JK kwakuwa tu ni dini moja na ya kwake. Zogo likazidi na hivi sasa tupo kwenye kusuluhisha.
Tuna kazi kubwa baada ya Uchaguzi!

Baba askofu moses kulola amemsifia hadharani na kusema kuwa ni kiongozi safi
 
Mungu wangu, una habari huyu bwana kakoroga nchi kisa Udini!!! Nyerere angerudi kweli si angetucharaza viboko sie tunao lea hali hii?
 
kikwete ni mdini sana. hata ukipitia wizara zote angalia idadi ya waislam kuanzia makatibu wakuu mpaka wakurugenzi wasaidizi. tuwe wakweli jamani. huyu jamaa ni mdini wa chinichini anakwenda kwa vitendo tu. lakini tabia yake hiyo itamtokea puani tarehe 31 oktoba 2010.
Kama statistics basi tunaweza kusema JK kawapendelea wakiristo mfano zaidi ya 65% ya mawaziri ni wakiristo, wakuu wa mikoa wengi ni wakiristo, wakuu wa wilaya, majajina karibia kila sekta wengi ni wakiristo. JK hana hata chembe ya udini ila nyie ndio mtaka kuleta mambo hayo ya udini. Tuachane na proganda siziso na tija kwa taifa letu hakuna atakayeumia pindi mambo yakiharibika ila ni mimi na wewe au ndugu zetu. Mungu ibariki Tanzania.
 
Kikwete Siyo mdini, hakuna ushahidi wowte wa kuonyesha kuwa ni mdini.
Miraji Kikwete ni mwanae kwa hiyo by default atakuwa ni mwislamu
Salma Kikwete ni mkewe kwa hiyo chance ya mtu kuoa dini ya kwake ni kubwa zaidi.
Gharib bilal ni Mzanzibar ambayo zaidi ya asilimia 95 ni waislamu.

Baraza la mawaziri la Kikwete Asilimia 56 (Mawaziri pamoja na manaibu waziri na yeye akiwemo) ni Wakiristo, Waislamu ni asilimia 44 tu,

Wenye kuleta hoja ya udini wa Kikwete ndiyo wadini, watu wenye chuki binafsi, wasio na ulewa mpana, washabiki. ni watu walioishiwa hoja.

Msidhani mtamsaidi dr slaa kuingia Ikulu kwa kutumia njia za kuwagawa watu kwa misingi ya kidini, hata akiingia ikulu kwa njia hizi atashindwa kuongoza wala kutawala.
 
Kweli kikwete ni mdini kama walivo watanzania wote. Sec.19 subsec.1,2 n 3. Tanzania ndo haina dini. Sishangai mtu kuwa mdini isipokuwa hasimdhuru mwenzie kiimani. Ni dhambi kubwa tulioizaa watawala wa sasa kuwakumbusha kuwa kuna dini Tanzania, kwamba Dr.slaa ni mdini,haya yote yatatugarimu. Wakuu nawahakikishia kuwa mwaka 2015 kura zitapigwa kufuatana na dini,asimi usiamini hii dhambi ya udini haitafutika,watawala wameiua nchi kwa ili.
 
Huu uzi !! huu uzi ni katika uzembe wa mwisho ktk nyuzi zote humu JF !! imeprove..hata wachangiaji miaka yote (6yrs) haijakamilisha pahe moja !! khaaaaaaaaaaaaaaaaaaah .. Jamanii tuw waTZ waTaifa kwanza !!
 
kikwete ni mdini sana. hata ukipitia wizara zote angalia idadi ya waislam kuanzia makatibu wakuu mpaka wakurugenzi wasaidizi. tuwe wakweli jamani. huyu jamaa ni mdini wa chinichini anakwenda kwa vitendo tu. lakini tabia yake hiyo itamtokea puani tarehe 31 oktoba 2010.
Unabii huu haukutimia kwa kuwa ulikuwa wa uongo tangu mwanzo. JK hajawahi kuwa mdini kwa namna yoyote unayoweza kumuelezea. Na leo hii hata upinzani wanashuhudia kuwa JK ni miongoni mwa marais bora kabisa ambao nchi hii imepata kuwa nao. Na japo wanapinga kila JPM anachofanya au kusema, atakapostaafu watakuja hapa na kusema wanamkumbuka au wanam-miss! Siasa za upinzani katika nchi yetu zimekosa consistency of issues, wanang'ang'ania matukio na kauli tu, zikikishapita wakati wake wanakosa hoja.
 
kikwete ni mdini sana. hata ukipitia wizara zote angalia idadi ya waislam kuanzia makatibu wakuu mpaka wakurugenzi wasaidizi. tuwe wakweli jamani. huyu jamaa ni mdini wa chinichini anakwenda kwa vitendo tu. lakini tabia yake hiyo itamtokea puani tarehe 31 oktoba 2010.
Adui Mkubwa wa Uongo ni Muda.
 
Mbona hizi threads za Kikwete ni mdini hazifiki hata page tatu lakini thread inayosema Magufuli ni mdini inatoboa page 20 ?
 
Duuuuhhhh akilalamika khalifa hamisi anaambiwa mchochezi
 
Duh hii kali kumbe udini uliletwa na Chikwete leo masheikh wanamlaumu Pogba.
 
Back
Top Bottom