Should we call this double standard? Wakati ICC walipotoa warrant ya kukamatwa kwa rais wa sudan kwa sababu ya mahujaji ya weusi yanayooongozwa na waarabu kule Darfur, Mh. JK alilaani kile kitendo. Sasa hivi kupigwa kwa Hamas kule Gaza, JK amelaani.
Kuuwawa kwa wakongo na wakina Laurent Nkunda, JK Kauchuna. Hivi inamaaminisha mtu mweusi hana thamani?
Africans, we need to wake up!!
Kuuwawa kwa wakongo na wakina Laurent Nkunda, JK Kauchuna. Hivi inamaaminisha mtu mweusi hana thamani?
Africans, we need to wake up!!