Inaonekana alisema bila kufikiria vizuri au kuchagua maneno sahihi. Ila wanasema kiujazacjo moyo ndiyo kikutokacho kinywani! Atakuwa anajutia hiyo kauli. Iko very clear wala haihitaji tasfiri!lugha gongana ila amesema anamuunga mkono
Haya maneno yanamfaa Mashinji.."Ukiwa mpya lazima watu waone una mambo mapya, lakini mapya ya maendeleo, Sio mapya ya kubomoa ya kule tulikotoka
Achana na Wana siasa yani hii kauli hata wiki haijamalizaInaonekana alizungumza bila kugikiria impact ya m
Inaonekana alisema bila kufikiria vizuri au kuchagua maneno sahihi. Ila wanasema kiujazacjo moyo ndiyo kikutokacho kinywani! Atakuwa anajutia hiyo kauli. Iko very clear wala haihitaji tasfiri!
Hana sababu ya kujibu kila kinachojadiliwa mitandaoni dhidi yake
Haha jamii.forum inanifanya nisifikilie kufuata vijiwe vya stori,
Anayo sababu ya kujibu, amemjua Magufuli ni mtu vindictive, arbitrary and capricious, ana visasi vya wazi wazi, anaweza kukataa "kutumia mkono wake" kusaini ma cheki ya gharama za masafari ya JK na matibabu yake nje ya nchi.
Zamani JK alikuwa Rais, anasema chochote bila backlash. Sasa hivi chochote anachokisema can be used against him in the Kangaroo court of Magufuli's whims.
JK nae kadata, kama kawaida, umestaafu vipi wakati unatoa ma public statement kuhusu maendeleo? Manake nia yake ni kumpiga dongo JPM, sasa alitegemea nini yani, yangeishia pale? Light weight always.
Huyu mzee anapiga miguu yote