Vasco da Gama! Nimeona mjadala watu wamembana kwa maswali magumu mpaka akajibu!
Kweli watz waleo sio wajana!
Nimepitia post ya kule mzee akila bata, vipi maswali gani muhimu walimuuliza na majibu yake.Tunaomba utujuze kidogo
Vasco da Gama! Nimeona mjadala watu wamembana kwa maswali magumu mpaka akajibu!
Kweli watz waleo sio wajana!
kikwete kaondoka nchini tarehe 23. Mkutano unaanza tar 28 na kudumu kwa siku 3. Siku 8 nzima jakaya yupo nje ya nchi. Tafakari...