zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
- Thread starter
- #41
Hivi hatuyaoni au ni kuna ka siri gani kalichofichika? simply,
1) WAKATI WA NYERERE, Ufisadi ulikithiri tena wakutututia wa Tanzania umasikini usio kifani, mfano, tulikuwa hatuna hata chakula, katika nchi kama hii, ambayo muda mchache kabla nyerere hajaipokea toka kwa waingereza, ilikuwa ni nchi inayojitosheleza kwa kila kitu, nikimaanisha kulikuwa hakuna shida ya chakula, mazao yetu tulikuwa tukiuza mpaka nje, aina tofauti za vyakula kutoka nje vilikuwepo tena kwa bei nafuu.
Ilifikia wakati Tanganyika ilikuwa inachukuwa labourers kutoka nchi za jirani kuja kusaidia kazi za kilimo, jinsi kilivyo shamiri.
Yote hayo nyerere alifisadi mpaka ikawa hatuna hata chakula, na ni kwa muda mfupi tu, akatufanya masikini wa mwisho duniani. Na hakuna aliyethubutu hata kumsema wacha kukemea, ilikuwa watu hata wakitaka kujiuliza tuu kuhusu nyerere, basi wananong'ona wasisikike, jee, kuna ufisadi zaidi ya huo?
Watu walikufa hovyo, wengi tuu, walipokuwa wakihamishwa kutoka sehemu zao asili kulazimishwa kwenda kuanzisha vijiji vya ujamaa maporini, walioliwa na wanyama, waliogongwa na nyoka, waliokufa na njaa, waliokufa kwa kukosa huduma za afya maporini. Hayaelezeki ni mengi sana. Jee, ni nani alihukumiwa wakati wake na baada ya nchi kumshinda tukiwa kwenye lindi la umasikini, serikali iliyofuatia ilithubutu hata kumuuliza au kusema lolote baya? hakuna. serikali ilibaki kumsifu ki uwongo, kwani sijui hata moja la kumsifu dikteta aliyetowa roho za watu, ni nini cha kumsifu?
awamu ya pili ina dhambi zake nyingi tuu za ufisadi, nani aliyefichuliwa?
awamu ya tatu hali kadhalika, nani aliyefichuliwa?
Awamu ya nne, tunaona magavana, mawaziri, mabalozi na wengine wengi wapo njiani wakifichuliwa kwa ufisadi, kwa kipimo chenu cha kupigana na ufisadi ni awamu ipi bora? au hamuoni ukweli?
Mimi nasema, nikiwa shahidi wa kujaaliwa kuwepo awamu zote hizi, kuanzia ya kwanza hadi ya nne, bora kuliko zote ni awamu ya nne.
Ahsante JK kwa kazi nzuri unayoifanya na wasioliona hilo wana agenda ya siri! waiweke wazi tuu, lakini wasifunge macho na kujifanya hawaoni JK anapofichuwa mafisadi.
Hongera JK keep it up. Watasema tuu linalowakera siku moja, chuki yao kwako ni nini? Lakini kwa kazi, unaifanya na unastahili sifa kede-kede.
1) WAKATI WA NYERERE, Ufisadi ulikithiri tena wakutututia wa Tanzania umasikini usio kifani, mfano, tulikuwa hatuna hata chakula, katika nchi kama hii, ambayo muda mchache kabla nyerere hajaipokea toka kwa waingereza, ilikuwa ni nchi inayojitosheleza kwa kila kitu, nikimaanisha kulikuwa hakuna shida ya chakula, mazao yetu tulikuwa tukiuza mpaka nje, aina tofauti za vyakula kutoka nje vilikuwepo tena kwa bei nafuu.
Ilifikia wakati Tanganyika ilikuwa inachukuwa labourers kutoka nchi za jirani kuja kusaidia kazi za kilimo, jinsi kilivyo shamiri.
Yote hayo nyerere alifisadi mpaka ikawa hatuna hata chakula, na ni kwa muda mfupi tu, akatufanya masikini wa mwisho duniani. Na hakuna aliyethubutu hata kumsema wacha kukemea, ilikuwa watu hata wakitaka kujiuliza tuu kuhusu nyerere, basi wananong'ona wasisikike, jee, kuna ufisadi zaidi ya huo?
Watu walikufa hovyo, wengi tuu, walipokuwa wakihamishwa kutoka sehemu zao asili kulazimishwa kwenda kuanzisha vijiji vya ujamaa maporini, walioliwa na wanyama, waliogongwa na nyoka, waliokufa na njaa, waliokufa kwa kukosa huduma za afya maporini. Hayaelezeki ni mengi sana. Jee, ni nani alihukumiwa wakati wake na baada ya nchi kumshinda tukiwa kwenye lindi la umasikini, serikali iliyofuatia ilithubutu hata kumuuliza au kusema lolote baya? hakuna. serikali ilibaki kumsifu ki uwongo, kwani sijui hata moja la kumsifu dikteta aliyetowa roho za watu, ni nini cha kumsifu?
awamu ya pili ina dhambi zake nyingi tuu za ufisadi, nani aliyefichuliwa?
awamu ya tatu hali kadhalika, nani aliyefichuliwa?
Awamu ya nne, tunaona magavana, mawaziri, mabalozi na wengine wengi wapo njiani wakifichuliwa kwa ufisadi, kwa kipimo chenu cha kupigana na ufisadi ni awamu ipi bora? au hamuoni ukweli?
Mimi nasema, nikiwa shahidi wa kujaaliwa kuwepo awamu zote hizi, kuanzia ya kwanza hadi ya nne, bora kuliko zote ni awamu ya nne.
Ahsante JK kwa kazi nzuri unayoifanya na wasioliona hilo wana agenda ya siri! waiweke wazi tuu, lakini wasifunge macho na kujifanya hawaoni JK anapofichuwa mafisadi.
Hongera JK keep it up. Watasema tuu linalowakera siku moja, chuki yao kwako ni nini? Lakini kwa kazi, unaifanya na unastahili sifa kede-kede.