Glamoranie
Member
- May 11, 2013
- 26
- 2
ipo namna si bure nothing is free nowdays.
Sasa kama mwanamke thamani yake ni zaidi ya pesa iweje pesa ndiyo itumike kama mahari? Na kwanza iweje mtu atoe kiasi cha pesa taslimu kama mahari? Hadi kufanya hivyo si anakuwa keshamthaminisha huyo anayemtolea mahari...au?
Kutoa na kukubali pesa taslimu kama mahari ni kumfanya mwanamke awe bidhaa.
sio kweli nakukatalia, mara nyingi mahari huwekwa vitu kama vile ng'ombe , mbuzi, kondoo , majembe, mablanket, mashuka, vitenge nk kwa watu kaam wachaga basi hata pombe huwa ni sehem ya mahari pamoja na chakula. kinachotokeaga sasa huwa mara nyingi waoaji hawawez kuleta hivi vitu kama vitu kwasababu kwanza ni tabu kuvibeba lkn pia ni usumbufu. ili kuweza kutimiza lengo basi huvibadili vitu hivi kuwa pesa ili atkeast kama vipo vya lazima sana vya kuletwa basi vibaki vile vinavyobebeka.
pesa kama pesa huwaga naona ni kwenye mkaja wa mama ambao hapa mama hutakiwa kusafishwa kwa pesa cash. pombe wengi husema nitatoa cash ili mnunue wenyewe lkn pia kuna zile ambazo waoaji hutakiwa kualeta siku ya kukabidhi mahari yao.
so kama mwoaji hatak kutoa pesa basi anunue hivyo vitu apeleke atakua ametoa mahari kusudiwa
Hahaha huyo mwanamke ndio mburula. Ameshindwa kuongea na wazazi wake juu ya hii trading kwamba mnunuzi hana uwezo? Na mwanaume anaelipiwa mahari hayo majukumu mengine ya kifamilia yatakuwaje?
Kuna watu wamezaliwa kwa ajili ya kujikomba duh
Mimi kutoa pesa naona ni sawa tu na kumfanya mwanamke awe bidhaa inayonunuliwa. Na hivi hizo pesa huwa zinaenda wapi sasa?
Mimi kutoa pesa naona ni sawa tu na kumfanya mwanamke awe bidhaa inayonunuliwa. Na hivi hizo pesa huwa zinaenda wapi sasa?
Ben Saanane, kuna kitu unataka kusema? Sema baba usiogopeHa ha ha!
kama hutak kutoa pesa basi njoo na vitu ulivyoagizwa yaani ng'ombe, mbuzi, kondoo, mablanketi majembe, mashuka vitenge na pombe.
Hahaha huyo mwanamke ndio mburula. Ameshindwa kuongea na wazazi wake juu ya hii trading kwamba mnunuzi hana uwezo? Na mwanaume anaelipiwa mahari hayo majukumu mengine ya kifamilia yatakuwaje?
Kuna watu wamezaliwa kwa ajili ya kujikomba duh
Kheee...mavitu yote hayo ya nini? Beberu mmoja hatoshi?
Ndo maana napinga kabisa hayo mambo ya mahari. Ni upuuzi mtupu.
Sijawahi kutoa mahari, sitakuja kuitoa, na siku ya siku ikifika kama bado niko hai basi wala sitaiomba wala kuidai toka kwa mkwe. Never.
Huyu kada mwenzangu mbona ni mzee naamini kabisa atakuwa amebariki ndoa
Mimi kwanza kabla ya kumshangaa huyu mwanaume, nimeshangazwa na wingi wa hiyo cash ya mahari...
Hivi ni kweli mahari imekuwa kubwa kiasi hicho (3mil)...mmh hiyo familia ya mwanamke ni kama walikuwa wakomoaji.
Kama hii ni kweli alitamka Mr Musiba.....basi upstair pake pana tatizo.......du mshkaji amechemkaje??....aiseee siamini. Halafu hilo ndilo goma la 3m??...poa lakini