Kikao cha siri cha Kaguta, Kagame na Kenyatta (tripple K) chaamua mambo mazito...

kwani kulikuwa na ulzima wa kwenda huko,uwenda Museven kamwalika Uhuru at that time Kagame akaona ajenda ya hicho kikoa au mwaliko hata yeye ungemfaa akaamua kuwa join
 
Labda wana lao jambo tusibiri output ya kikao chao. Tusiwe wepesi wa kuguess walichokuwa wanazungumza siri ni yao wao wahusika.
 
Lol they can't be serious on that?why they left us behind. where there is Burundi? Can we form our own cooperation that would involve TANZANIA, DRC and BURUNDI? let them go for good.
Udhaifu wa serikali yetu unatuponza!
 
mimi sijawahi kuikubali EAC hata siku moja. Ilishindikana wakati wa Mwalimu Nyerere ndo Kikwete ataweza? kwenye hili Tanzania lazima italoose, labda tubadilishe the whole system ya utawala, kikiwemo chama tawala ili nchi iwe na sura nyingine kabisa maana wenzetu walishasoma vizuri udhaifu wa serikali yetu.
 
Tuwatakie kila la heri na tusimruhusu ENL kuwa raisi ajaye maana atawauzia kilichobaki. Jamaa kwa pesa ni noma!
 
I wonder why our president is being sidelined from attending this crucial meeting of economic importance to EAC!

Why has he been ignored?!

I thought all the economic resources in EAC are to benefit us all! Or are there two East African Communities; one for Kenya, Uganda and Rwanda and another for Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi and Tanzania?!

Ngoja nikujibu kwa kiswahili...Serikali yetu ni ya porojo nyingi, ukiangali hao marais watatu waliokutana wote ni watu wa action.( Pia si watalii wa kuzurula nchi za watu kila kukicha) LMAO. EAC inatuhusu sisi kwa kuwa tuna ardhi kuuuubwa na fertile ila haijaguswa ....wakishakuwa tayari,waganda/wakenya/warwanda watakuja kujichukulia ardhi kiulainiiii........kama KINANA anavovuna tembo. TANZANIA INAANGAMIA CHINI YA CCM (FACT)
 
When asked why Tanzania and Burundi, the other two members of the community, had not attended the meeting, President Museveni said : “Even if you are two or three, you still talk about EAC issues.”

HAPO SHASHA
 
Jk upooo! Wenzako wamekusaliti,sijui una mikakati gani? Mnahubiri amani amani huku mkiagiza jeshi la polis kuua raia,amani ya wapi hiyo! Kuhubiri amani kwenye nyumba za ibada ni kumjaribu MUNGU,amani haiburiwi,bali inakuwepo kwa kuwa na mazingira yanayoifanya iwepo.
Jk sikiliza kilio cha watanzania,washauri na wasaidizi wako ndio wanakuangusha,wanakuambia mambo shwari sana mkuu wakati nchi imeoza!! Chukua hatua AIBU ni yako.
 
Mkuu FJM mimi Hapana. Kamwe siwezi kusimama na kumuunga mkono rais wetu kwenye ujinga wake. Aache ujinga na hapo tutamuunga mkono.

Tanzania tuna rasilimali kibao lakini kutwa Kikwete analeta wageni kutoka ulaya, Amerika, China nk. kuja kuvuna kila kitu.
Wacha ashikishwe Adabu ili ajifunze.

then wewe ni mamluki sio mtanzania.mzalendo wa kweli hawezi kuongea upuuzi kama huu ulioongea.hapa unapoambiwa simama nyuma ya rais wako usidhani umeambiwa simama nyuma ya JK,SIMAMA nyuma ya taasisi ya urais wa tz coz ndiyo tuliyoikabidhi mamlaka ya kutuongozea nchi kwa niaba yetu sote kama watanzania.kama chuki zako kwa JK zinakufanya uukane utanzania wako then kafie jehanamu maana wasaliti kama wewe hatuwahitaji.JK ataondoka atatuachia Tanzania yetu so hatuwezi kuitoa sadaka nchi hii kwa sababu ya chuki zetu kwake.
 
Last edited by a moderator:
mkuu, bado tuna fursa regardless na maamuzi ya nchi hizo. bado tuna DRC, BURUNGI, CONGO, MSUMBIJI, MALAWI nk. pia hao rwanda ipo siku watajirudi tu maana sisi tunategemea kuanza kuchimba mafuta yetu hivi karibuni
kagame na museveni ni madikteta. wamekaa madarakani kwa muda mrefu na hawana mpango wa kustaafu. nchi yetu imeona kuwa DRC ni nchi muhimu kibiashara. kwa sasa hivi hakuna nchi ya afrika mashariki iliyo na barabara nzuri kama TZ. Kenya barabara mbovu sana. waganda, warwanda, wakongo na warundi wanafurika dar kwa kutumia bandari yetu. jambo hili limepunguza mapato ya bandari ya Mombasa. jk ameona kuwa bila amani drc, Tanzania haiwezi kufaidi utajiri wa kongo kibiashara. Rwanda na Uganda wanaivuruga drc ili wakaibe rasilimali zake. jk alipoiomba Rwanda na Uganda kuzungumza na waasi mezani, marais wa nchi hizo walikasirika sana. hawataki utulivu drc. museveni alimuunga uhuru mkono kwa kuishambulia icc. sasa hivi naona kama wanaunda utatu Fulani hivi. tuweke nguvu zetu drc kwa majeshi yetu kurudisha utulivu na amani ktk nchi ile. tuisogeze Burundi karibu. tutashinda!
 
Kagame na Museven ni maburura tu, wana wivu na kisirani hawa jamaa kwa rasilimali za Taifa letu, waende zao huko wakahaingaike na matatizo yao ya kiusalama, Kwanza huo muungano sisi hauna tija kwetu koz huu tu wa Zanzibar inatumbua alafu tuhangaike na upumbavu wa madikteta wachumia tumbo kama hao?

VIVA TANZANIA VIVA.
 
kikwete yupo kwenye federation na nchi za ulaya sababu huko ndo kahamishia maskani yake. mimi nawaunga mkono wakina mseven na kagame sababu wao wanaangalia masilahi ya nchi zao na vizazi vijavyo sio huyu anaye angalia masilahi yake na marafiki zake wakina lowasa na Rostam aziz. mia

Duh! Usilo lijua usiku wa Giza.
Rostam kajikita hukohuko kenya na Uganda, Railway iliopo sasa anahisa zaidi ya asilimia 20. Na anamiradi mingisana kwenye hizo nchi. Amestukia bongo ni wadhaifu kwenye maamuzi ya biashara kawahi huko.
Miradi yake ya huku kamuuzia Prince.
 
Hapa naona kuna suala la kumkomoa Kikwete hasa baada ya kuzitaka nchi za Uganda na Rwanda zizungumze na waasi.Ukweli ni kwamba hiyo federation wanayoizungumza wakati nchi mbili hazina uwakilishi katika hayo maazimio ni kitendo cha kuiendesha EAC kibabe zaidi badala ya kufuata taratibu.
Hamna cha kumkomoa ------... yeye mbona hataki kuzungumza na wapinzani wake CDM, bali kila siku kuwabambkizia kesi? Huoni anashauri kitu asichoweza kukifanya yeye? Double Standards???


Kitendo cha Tanzania kupeleka majeshi DRC kimeiudhi Rwanda na Uganda sana. Wanajua walichokuwa wakikipata DRC.
Kabala hujazungumzia hili swala nyeti, umejiuliza kuwa Majeshi yetu yemekwenda DRC kwa maagizo ya nani?
Kazi wanayoifanya ya kuhatarisha maisha yao ina manufaa gani kwa Watanzania?
Hivi kweli, fedha nyingi zinazotumika katika hivyo vita ni halali kutumika wakati hapa mahitaji ya msingi bado ni tatizo?... maji, mashule, hospitali, barabara n.k.
Kazi kubwa ya jeshi letu ni kuilinda mipaka yetu. M23 imetishia mipaka yetu?

Nadhani pia ujio wa Obama Tanzania na kuisusa Kenya kemeiudhi serekali ya Kenyatta.
Kabla hujashabikia ujio wa Obama, fanya utafiti zaidi kuhusu kinachomleta hapa wala usiishie kwenye maneno ya kisiasa; "nchi ya amani..".

Kikao cha Kampala ni mkakati wa marais watatu wenye matatizo makubwa na jumuiya ya kimataifa dhidi ya kipenzi cha nchi za magharibi Tanzania.Tusisahau Tanzania baada ya kugundua gesi nyingi itaweza kuendesha uchumi wake bila huo muungano wa mataifa yenye matatizo.
Hapa ndipo unapochemka sawasawa. Hayo maendeleo unyayoyazungumzia ni pamoja na bidhaa za viawandani. Kama hujatengeneza mahusinano mazuri na majirani huoni kuwa umeshavuruga mazingira ya soko?
Utalii nao hufanikiwa pale zinapokuwepo "circuits" zenye ushirikiano kati ya jirani. Ndiyo maana ya kapeni ya wenzetu ya "EA Common Visa." Hili pia utaliona kwa wenzetu wa ulaya ambao wanatoa "Schengen Visa" inayokuruhusu kuitumia katika nchi zaidi ya kumi za ulaya. Funguka zaidi?


[1] Uganda Museveni anataka kumwachia nchi mtoto wake au mke wake.Tayari kuna msuguano mkubwa baina ya makamanda waliomsaidia Museveni kuingia madarakani.Shorikisho la EA ni sehemu pekee anayoweza kujificha kwa sasa.
Nchi ya Uganda ina katiba yake inayoelezea vizuri kuhusu suala kuwania urais. Vile vile mwanae amekanusha tuhuma hizi jana.


[2] Rwanda upinzani unazidi kutanuka Rais Kagame amekosana na makamanda wake wote walioanzisha vita kutokea Uganda.Kuingia kwa Majeshi ya Tanzania DRC kumeharibu mikakati mingi ya Kagame hasa ya kiulinzi na usalama pia uchumi na biashara (wizi wa maliahasili ya DRC).
Wamebaki viongozi wachache wenye uwezo wa kuziambia nchi za magharibi "Hapana" katika mambo fulani. Kagame, Kaguta, Kenyatta wanayo sifa hiyo. Hili linapelekea nchi hizo za mangaribi kutoa fungu kwa watu fulani katika nchi zao ili kusababisha fujo na taharuki katika kila kitu kinacho fanywa na serikali zao... hii inaitwa kwa kitaalam "Smear Campaign." Wamekuwa wakiifanya sana huko China, Urusi, India, Venezuela n.k. Fungua macho!

(3) Kenya.Rais na makamu wake wana kesi ICC.Hawana uhakika kama watamaliza muda wao wa kikatiba salama yamkini wakati mkakati wa ujenzi wa reli na bomba la mafuta unaanza watakuwa wakitumikia vifungo vya maisha katika magereza ya Ulaya.
Ni ajabu kuwa hii mahakama unayoishabikia hujui kuwa ni ya kisiasa zaidi kuliko kusimamia haki! Mahakama ya ICC inatumika na Marekani, Uingerza, Ufaransa, Ujerumani, Uholanzi n.k kuwaadhibu viongozi wa kiafrika tu wanao kataa kushirikiana nao katika kuziteka nchi zao kiuchumi. Kenyatta na Ruto tangu mwanzo walishazitamkia hizi nchi za mangaribi kuwa weheshimu maamuzi ya nchi zingine hususan Kenya. Wiki chache zilizopita, ulikuwepo mjadala kuhusu ICC. Ni ajabu hukujifunza chochote kuhusu kazi, malengo zake na waajiri wake. Amka!



Tanzania inaweza kusonga mbele bila shirikisho la EA kama itaamua kutumia rasilimali zake vizuri na kwa faida ya wananchi wake.Tanzania ni kubwa kuliko Kenya,Uganda ,Rwanda na Burundi ukiziweka pamoja.Hakuna haja ya kuzipigia magoti nchi zenya matatizo makubwa ya kiusalama.
[/QUOTE]

Hii statement ya mwisho inaonesha kuwa bado uko kwenye usingizi mzito sana! Hakika kama huu ndiyo uelewa wako, unahitaji sala za kufa mtu! Pole sana.


Tunapotengwa na majirani zetu katika masuala ya msingi si jambo la kusifia. Hii inaashiria hatari mbele yetu.
Zanzibar moto unatokota.
Malawi tumeshawapoteza.
Zambia wapo wapo.
DRC ndo tumebaki nao.
Burundi biashara yake ndogo sana.
Rwanda tumewachokoza sisi wenyewe.
Uganda hatunao.
Kenya tulikosea tulipokwenda kusihiriki katika kapeni za urais.

Tumebaki na jirani yupi?

Kwa vile wewe ni mchangiaji wa kila siku, ni vema ukayafanyia utafiti maoni yako kabla hujayaleta hapa na kuwapotosha wenzio wasiojua chochote kuhusu mahusiano ya kimataifa.
 
Haina haja ya watanzania kuogopa, sisi tunaweza kufanya alliance na Burundi, Congo, Zambia na Malawi kuliko kufanya alliance na hawa madikiteta. Tusimjali sana Uhuru Kenyatta maana ni oppotunist, amechukia sana Obama kutoenda kwake na ameamua kwenda kwa mtetezi wake mkuu DIKITETA M7.06
 
Comment yako inaukweli, tatizo ni kwamba makubaliano ya kikao hicho kitakuwa na athari kubwa kwa Tanzania ukizingatia hatukuwa na mwakilishi wetu (JK). Kama taifa tufanye nini ili hizi nchi tatu zisiendelee kuhujumu EAC common agenda? Inavyoonekana wameanza kustreamline uanachama wa Jumuiya wa Afrika Mashariki kutoka nchi tano hadi tatu na wameanza kuunda agenda zitakazohusu nchi tatu badala ya nchi tano. Hili ni janga jingine katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Comment yako inaukweli, tatizo ni kwamba makubaliano ya kikao hicho kitakuwa na athari kubwa kwa Tanzania ukizingatia hatukuwa na mwakilishi wetu (JK). Kama taifa tufanye nini ili hizi nchi tatu zisiendelee kuhujumu EAC common agenda? Inavyoonekana wameanza kustreamline uanachama wa Jumuiya wa Afrika Mashariki kutoka nchi tano hadi tatu na wameanza kuunda agenda zitakazohusu nchi tatu badala ya nchi tano. Hili ni janga jingine katika ukanda wa Afrika Mashariki.


It looks to me like Rwanda might be that nation with very temporary glory. Sifa za kupaisha uchumi haraka zimemvimbisha sana kichwa Kagame. Yoweri naogopa sana kumsema vibaya kwa sababu fulani binafsi; deep in his heart bado Manzese anayo. Anayo mapungufu yake, kama vile kutaka kuwa rais wa Afrika Mashariki. Na usikute wazo la kumkabidhi kipengele cha fast tracking political federation alimpa Kenyatta akijua Yoweri anapenda sana hiyo kitu--to soften him of course--akubali pipeline kupeleka mafuta Kilifi. If they think they gain something from excluding Tanzania, so be it! You can't force a person to like you!

Tukikomaa na Kongo, na SADC kwa ujumla wake, I don't see why the hell East Africa should be that critical. We are not land locked, Kenya na Rwanda watanunua mafuta ya Uganda. Hawatapewa bure. Kwa hiyo tunaweza tu kununua kama wao watavyonunua. Wazo la Pipeline ya Mafuta kutoka uganda kuja somewhere huku kwetu si lazima liwe na malengo ya reveneus from transit exports kama Kenya. Ni wazo la kutumia, na Uganda watafurahi kuunganisha kipipeline kwa ajili ya Mauzo kwetu; which might have implications kwa Kenya in the long run. Lakini, at some point, wao na sisi tutakuja tugundue we needed each other more than the other way round.

But..there really is nothing to worry about kwa sasa. Cha ku-worry about kwa hapa kwetu ni hili la kuwatoa mafisadi serikalini. Hayo mengine yatajipa tu with a respectable government in place.
 
Dear my fellow Tanzanians, we might have idealogical differences or partisanship which can come and varnish but our beloved country will be there forever.Hivi mnajua Kenya ni number mbili kwa uwekezaji Tanzania ikitanguliwa na UK? East Africa can't move without TZ huu ni ukweli and Museveni na Kagame knows it well, this country is ----ing rich in terms of resources.Marais wa makampuni makubwa kama GE, Boeing wamesema wazi kuwa kuna biashara kubwa watapata toka nchi mbili tu (Tanzania na Mozambique) ya gas turbines ambayo itazidi mapato wanayopata Ulaya(just read HBR on how important and worthy Obama trip to Africa). I know Kikwete doesn't fit as president of this country even his party cannot accommodate these robust changes(political, economic and socially) that happening in our country but the truth will remain-No strong,successful East Africa cooperation without TZ.

Kama hoja yako ni sahihi na kama wenzetu wanalitambua hilo kwa nini tuwe sidelined?! Ok, yes we have big reserves of natural resources, but without good strategy to exploit them they are as useless as garbage in a dump! Those giant companies will come rip our resources and go, leaving us poorer than before!
 
mkuu, bado tuna fursa regardless na maamuzi ya nchi hizo. bado tuna DRC, BURUNGI, CONGO, MSUMBIJI, MALAWI nk. pia hao rwanda ipo siku watajirudi tu maana sisi tunategemea kuanza kuchimba mafuta yetu hivi karibuni

yeah,kukosa kupitisha mizigo ya rwanda haina maana uchumi wetu utapata pigo saana,bado tunapitisha mizigo ya hizo nchi ulizotaja.
 
Si hivyo ndugu yangu, story ni ndefu si ya leo wala jana Kikwete akiwa Foreign Minister aliwahi kusema watusi walipe kwa matendo yao ya genocide iliwauzi sana wanyarwanda nafikiri hawajasahau, kingine ni kuhusu EAC kwa Tanzania kukataa kusaini land integration bill wakati Rwanda na Kenya wanaimezea mate ardhi yetu, kingine ni kuona rais wetu haaminiki anathamini sana nchi za mbali kuliko majirani zake, labda na suala la Tanzania kupeleka majeshi yake DRC limewaudhi.
Sio hivyto tu, wameona uongozi wetu uwezo wa kufikilia ni mdogo na hawaendani na wakati. Wewe kama swala la uraia pacha wanalifanyia siasa unadhani watakuwa na uwezo kukaa na nchi ambazo zimeruhusu uraia pacha. Inabidi kutumia jicho la tatu kutambua umuhimu wa araia pacha. Viongozi wetu wanatumia macho mawili na kusahau kutmia jicho la tatu, akili.
 
Back
Top Bottom