Pasco wa bahasha huyo!!Cant believe this.....!
Wanabodi,
Kikao cha Bunge kimeanza kwa kimya cha dakika moja kumkumbuka Kanumba.
This is the highest honor ambayo mtu mwingine yoyote non politician kuipata!.
Kanumba amepata heshima kubwa inalingana na viongozi wakuu wa kitaifa!.
Nami nakiri rasmi Kanumba is really and trully The Great!.
RIP Kanumba The Great!.
Pasco, hebu fuatilia kwa nini Joshua Nassari hayupo bungeni mpaka hajala kiapo? Mengine yanabaki kuwa changamoto tu sijui Breaking News au whatever.
Yessss....Mzee Mahundi !Pasco, vipi kuhusu yule police mkubwa wa enzi hizo yeye kasahaulika maana naye katutoka
Yes, bunge lasimama dakika moja kumkumbuka Kanumba!. Usichanganye bunge kusitishwa na bunge kusimama ila nakiri kusimama ni tungo tata nilimaanisha bunge lasimama wima na sio lasimamisha shughuli zake!.ambigous language "bunge lasimama"