Natty Bongoman
JF-Expert Member
- Oct 10, 2008
- 403
- 191
This is something that can be channeled to proper opposition forms - ka maandamano, ama mayowe wakati wa hotuba, ama..., manake hatutataka wananchi wenye pointi nzuri kutupwa majelani - kisheria.
eniwei, mbona sasa ntaanza kutamba kuwa yule mwandishi mu-Iraki aliyemtupia viatu joji, aliwaiga wa-Mbeya ... hahahaa
eniwei, mbona sasa ntaanza kutamba kuwa yule mwandishi mu-Iraki aliyemtupia viatu joji, aliwaiga wa-Mbeya ... hahahaa