Kijana yupo njia panda

kigori wa kilwa

JF-Expert Member
Nov 17, 2013
483
148
Habari zenu wanajamvini
nimekutana na issue hii hapa kuna kijana tunafanya naye kazi ofisi moja , jana alinipa mkasa wake kwenye ndoa yake ni kuwa yeye ameoa zaidi ya miaka 11 nyuma lakini kipindi hicho chote hana raha na ndoa yake wala mkewe na sababu ya kutokuwa na raha ni ndoa zile za mimba alimpa binti mimba basi akalazimishwa amuoe. Kutokana na hali hiyo ilimfanya muda mwingine atafute mchepuko nje ya ndoa na kwa bahati mbaya huwa anafumaniwaga na mkewe na kupelekewa kuachana na hiyo michepuko, kwa kauli yake jana alisema alishawahi kuwa na girlfriends kama wanne hivi tangu ameoa mpka sasa na wote alikuwa anawapenda Ila tatizo mkewe akijua tu huwa hao wanawake wanamuachaga mwenyewe ...story inakuja hapa kwa sasa ana mchepuko ambaye anampenda sana kiasi kwamba hawezi kumuacha na mkewe ameshamfuma kama mara nne zaidi Ila mwanaume amesema hawezi kumuacha kwa sababu akiwa na mchepuko anakuwa na amani ya maisha Ila akiwa na mkewe hana raha kabisa amejitaidi kujicontrol Ila ameshindwa ...... anaomba msaada aachane na mkewe abaki na barafu la moyo wake au aendelee na mkewe japo hana mapenzi naye ?????
 
Aiseee ndoa ndoano. Nawahurumia waliotoa michango ya sendoff,harusi bila kusahau zawadi nyiingii.
 
Tatizo hajui njia salama ya uchepukaji ndomana

Mwambie ajifunze The laws of chepukolism.
 
Ujanja unaoleta kwangu senseless Uko na mimi na una-chat na exes Huku unanizuga kwamba hawa ni ma-school mates Sanya vyako funga b*tch it's too late Mara Peter, mara Toni Mara Mgita, mara Boni Wanapita marathon, miksa picha za ugoni Hasira ikinishika nakupiga na hukomi Kusoma sijui ndo hata picha sioni! Kutwa kuomba omba, mabwana kuhongwa hongwa Ni ufukara ama hulka ya bupa kuonjwa onjwa Niko msoto kwenye mishe, we umelala huna pressure Huku mtoto hana lishe, we unawaza kupendeza! Nakomaa na game sokoni we don't sell sh*t Na bado unani-blame it's a shame, am I selfish?! Najitahidi ku-provide mahitaji Kumbe picha zako zipo kwa profile za washikaji
 
Yupo njia panda ya wapi tumuelekeze vizuri njia.

Habari zenu wanajamvini
nimekutana na issue hii hapa kuna kijana tunafanya naye kazi ofisi moja , jana alinipa mkasa wake kwenye ndoa yake ni kuwa yeye ameoa zaidi ya miaka 11 nyuma lakini kipindi hicho chote hana raha na ndoa yake wala mkewe na sababu ya kutokuwa na raha ni ndoa zile za mimba alimpa binti mimba basi akalazimishwa amuoe. Kutokana na hali hiyo ilimfanya muda mwingine atafute mchepuko nje ya ndoa na kwa bahati mbaya huwa anafumaniwaga na mkewe na kupelekewa kuachana na hiyo michepuko, kwa kauli yake jana alisema alishawahi kuwa na girlfriends kama wanne hivi tangu ameoa mpka sasa na wote alikuwa anawapenda Ila tatizo mkewe akijua tu huwa hao wanawake wanamuachaga mwenyewe ...story inakuja hapa kwa sasa ana mchepuko ambaye anampenda sana kiasi kwamba hawezi kumuacha na mkewe ameshamfuma kama mara nne zaidi Ila mwanaume amesema hawezi kumuacha kwa sababu akiwa na mchepuko anakuwa na amani ya maisha Ila akiwa na mkewe hana raha kabisa amejitaidi kujicontrol Ila ameshindwa ...... anaomba msaada aachane na mkewe abaki na barafu la moyo wake au aendelee na mkewe japo hana mapenzi naye ?????
 
mwambie huyo rafik yako ajifunze kumheshimu mke wake... na kama ana mchepuko ahakikishe wanamjua mke wake na wanamheshimu... alete furaha kwenye ndoa yake uone kama atahangaika!
 
Ujanja unaoleta kwangu senseless Uko na mimi na una-chat na exes Huku unanizuga kwamba hawa ni ma-school mates Sanya vyako funga b*tch it's too late Mara Peter, mara Toni Mara Mgita, mara Boni Wanapita marathon, miksa picha za ugoni Hasira ikinishika nakupiga na hukomi Kusoma sijui ndo hata picha sioni! Kutwa kuomba omba, mabwana kuhongwa hongwa Ni ufukara ama hulka ya bupa kuonjwa onjwa Niko msoto kwenye mishe, we umelala huna pressure Huku mtoto hana lishe, we unawaza kupendeza! Nakomaa na game sokoni we don't sell sh*t Na bado unani-blame it's a shame, am I selfish?! Najitahidi ku-provide mahitaji Kumbe picha zako zipo kwa profile za washikaji
Mkuu naona kama vile umepotea njia. Ulikuwa waenda wapi?
 
Back
Top Bottom