Kijana mwenzangu una akiba kiasi gani benki?

1706173594680.png

Huyu Mwamba kaua.
 
Weka tuone, maneno kidogo screenshot ziwe nyingi 😜
Lakini Thomas hakuwa hapo wakati huo. Wanafunzi wenzake walimwambia kwamba walimwona Bwana, lakini Thomas alisema, "Nikiona alama za misumari mikononi mwake, na kuweka kidole changu ndani ya hizo alama, na kuweka mkono wangu katika ubavu wake, hapo ndipo nitakapomwamini."

amini hivyo tu mtumishi mpendwa sana Lamomy,
mwachie Tomaso yaliyo ya Tomaso...
 
Back
Top Bottom