Kijana, kujenga nyumba ni uoga wa maisha

Nilishawahi kuambiwa nimepanga ndani na sio nje, dish pakuweka panalipiwa, packing ni ya kulipia.

Hapo si sawa na umefukuzwa?
Duh! hii kali, kweli kuna raha ukiwa kwako, hata kama ni chumba kimoja hakuna wakukugongea alfajiri ukadeki choo, kisa zamu yako lzm uamke saa 11 kabla mwenye nyumba haja amka.
 
issue ni kujenga nyumba kwa mil14, au tujadili heading kuwa kijana kujenga nyumba ni uoga wa maisha? What if kijana mwingine wa rika kama la huyo aliyepata mkopo wa mil 14 akawa ana mil700 akijenga nyumba ya mil50 naye ni mwoga wa maisha? Mtoa mada usilazimishe watu wawe na mawazo kama yako

umemuweza.
 
Issue ni kujenga nyumba kwa mil14, au tujadili heading kuwa kijana kujenga nyumba ni uoga wa maisha? What if Kijana mwingine wa rika kama la huyo aliyepata mkopo wa mil 14 akawa ana mil700 akijenga nyumba ya mil50 naye ni mwoga wa maisha? Mtoa mada usilazimishe watu wawe na mawazo kama yako
Great..................!!!!!!!!!!!
 
kwa mjini ukitaka kiwanja right place ni shilingi 12 milioni hapo itabaki 2 milioni sasa utachimba msingi na kamilioni kako kitaisha kumbuka kale kahela ni kamkopo hivyo kila mwezi wanakakata asilimia kumi on salary 1 milioni wanakata laki moja unabakia na laki tisa, matumizi yako kwa mwezi laki tatu, maji 2000 umeme 15000, nauli kwa mwezi 50000 hapo ni pamoja na bodaboda utabakiwa na katabaki 578000 hapo ndo utajua unajenga mpaka unastafu nyumba haina plasta

teh teh..mkuu umemaliza kila kitu
 
ni uoga kupata kijimkopo hicho cha 14m kwenda kujenga. zungusha hiyo pesa ikuletee faida kwanza ndo ununue kiwanja/nyumba
 
Kuna mtu alinambia hivyo hivyo wanaopenda sana kujenga ni risk averse...ndio hivyo watu tunatofautiana ki personality...
 
Nawashangaa sana wote mnaopinga kijana kuelekeza pesa za mkopo kwenye ujenzi.Mi nilikopa bank 6M,miaka 5 iliyopita(mwaka mmoja baada kuajiriwa),nikatafuta kiwanja na kuanza ujenzi wa nyumba yangu,miaka mi3 baadaye deni la awali liliisha na nikaomba tena mkopo wa 12M,nakuendeleza ujenzi wangu na kumaliza kwa kiwango kile cha mtu kuweza kuishi(bila finishing).Kwa sasa 90% ya ujenzi imekamilika,Umeme upo,Ninaishi kwangu.Nimeishi kwenye nyumba ya kupanga kwa miaka 3 tu.Deni langu benk linaisha Novemba mwaka huu,hvyo nina nafasi ya kukopa tena na kufanya biashara. KWANGU MIE NYUMBA NI MUHIMU
 
What if hio 14m ikaleta loss? Kwa sababu biashara sio lazima ilete faida muda wote

haya ndyo mawazo ya kimaskini anayozungumzia mleta mada unawaza kupata loss Tu kwanini usiwaze na faida
 
Nawashangaa sana wote mnaopinga kijana kuelekeza pesa za mkopo kwenye ujenzi.Mi nilikopa bank 6M,miaka 5 iliyopita(mwaka mmoja baada kuajiriwa),nikatafuta kiwanja na kuanza ujenzi wa nyumba yangu,miaka mi3 baadaye deni la awali liliisha na nikaomba tena mkopo wa 12M,nakuendeleza ujenzi wangu na kumaliza kwa kiwango kile cha mtu kuweza kuishi(bila finishing).Kwa sasa 90% ya ujenzi imekamilika,Umeme upo,Ninaishi kwangu.Nimeishi kwenye nyumba ya kupanga kwa miaka 3 tu.Deni langu benk linaisha Novemba mwaka huu,hvyo nina nafasi ya kukopa tena na kufanya biashara. KWANGU MIE NYUMBA NI MUHIMU

huu Ni uamuzi Wako na unapaswa kuheshimiwa lakini haukuondoi kwny kundi la watu waoga WA maisha
 
haya ndyo mawazo ya kimaskini anayozungumzia mleta mada unawaza kupata loss Tu kwanini usiwaze na faida

Ni mawazo yangu, yaheshimiwe kama ninavyoheshimu mawazo yako. Biashara ina pande mbili, lazima uwazie pamde zote unapoingia kuifanya. That's my thought!
 
Mbona wahindi hawajengi lakini wanapiga biashara ile mbaya na maisha yanaenda?
 
huu Ni uamuzi Wako na unapaswa kuheshimiwa lakini haukuondoi kwny kundi la watu waoga WA maisha

Hivi mbona mnakazania hili neno (woga)?Ina maana mnataka tuamini kuwa kila anayefanya biashara sio muoga!Tuelewe kuwa nyumba ya kuishi na biashara ni mambo mawili tofauti;moja ni hitaji la msingi na lingine ni shughuli ya kuingiza kipato(kama ilivyo kuajiriwa).Pia maisha ni pamoja na priorities.
 
sikuoni cc kumbe umehamia airtel?


hata mm namshangaa mleta mada hajui kuwa mtu kuwa na nyumba ni fahari kwa maisha ya sasa
hajui kuwa nyumba ni asset kwa baadaye amenishangaza kweli kweli mkuu
Ukianza kazi mpaka uanze kufikiria kujenga nyumbà ipite miaka 5 ndo unaanza kujipanga.
 
Kama ataijenga kwenye strategic place itakuwa asset nzuri ya baadae othewise labda kwa ajili ya kuacha urithi maana ni shida.kazi posta nyumba kibamba Mshaurini vizuri siku bayport wakianza balaa lao mungu saidia kibarua kisiote nyasi atalia na kusagameno
 
Mimi sitaki kazi
 

Attachments

  • 1406367724046.jpg
    1406367724046.jpg
    106 KB · Views: 254
Back
Top Bottom