Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Mashabiki wa simba wameanza kula kuku baada ya kusikia habari kwamba yule mchezaji kipenzi wa yanga aliewasumbua sana sana amechomoa kurudi yanga...si mwingine ni hamis kiiza..habari zinasema mchezaji huyo amegoma na mbaya zaidi amebadi na namba za simu kabisa na hivyo awajui watampataje
habari zinasema viongozi wa yanga wameanza kushikana vichwa ana awajui ninicha kufanya..,,kiiza ni kweli amesema hatorudsi mpaka apelekewe hela zake nusu walizoahidiana doller 15,000 kama million 20,,
msemaji mmoja ameliambia gazeti la dimba kiiza amebadilisha namba na amesema wasipompelekea hela zake walizokubaliana alipwe hatorudi na akuja tanzania kuuza sura kama wanavyofikiria washabiki ...nilikuja kutafuta maisha kilisema chanzo
""nandibade na zedaa tanzania naye tenaba kumaliliza sente zange zembambanja a""alisema kiiza ningekuwa nimekuja tanzania ndugu yangu lakini bado mpaka wanilipe hela yangu
alisema kwanza ndugu yangu sijasaini mkataba wowote na yanga na hata itc yangu hawana so wala ainiumizi kichwa hiyo natafuta timu nyingine kama viongozi waliniita kuniona nafikiri wameona mziki wangu waamue wenyewe ,,habari zaidi zinasema amekuwa akiwasiliana na mwenyekiti wa usajili majid lakini amekuwa akimdanganya anakuja anakuja mpaka leo naongea na wewe ayuko tanzania m ntaishije
kazi kwenu wanayanga mmekutana na mtoto wa mjini
habari zinasema viongozi wa yanga wameanza kushikana vichwa ana awajui ninicha kufanya..,,kiiza ni kweli amesema hatorudsi mpaka apelekewe hela zake nusu walizoahidiana doller 15,000 kama million 20,,
msemaji mmoja ameliambia gazeti la dimba kiiza amebadilisha namba na amesema wasipompelekea hela zake walizokubaliana alipwe hatorudi na akuja tanzania kuuza sura kama wanavyofikiria washabiki ...nilikuja kutafuta maisha kilisema chanzo
""nandibade na zedaa tanzania naye tenaba kumaliliza sente zange zembambanja a""alisema kiiza ningekuwa nimekuja tanzania ndugu yangu lakini bado mpaka wanilipe hela yangu
alisema kwanza ndugu yangu sijasaini mkataba wowote na yanga na hata itc yangu hawana so wala ainiumizi kichwa hiyo natafuta timu nyingine kama viongozi waliniita kuniona nafikiri wameona mziki wangu waamue wenyewe ,,habari zaidi zinasema amekuwa akiwasiliana na mwenyekiti wa usajili majid lakini amekuwa akimdanganya anakuja anakuja mpaka leo naongea na wewe ayuko tanzania m ntaishije
kazi kwenu wanayanga mmekutana na mtoto wa mjini