Greater thinker
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 286
- 38
Habari za saa hz wakubwa..
Imekuwa ni kawaida sasa kwa haya matangazo ya burudan kwenye redio au televisheni huwa wanataja mambo yao..ikifika sehemu ya gharama(kwa matangazo kadhaa siyo yote) husikika(mtangazaji wa tangazo) husema 'KIINGILIO NI BURE'...
Hivi hii lugha fasaha kwel?au mimi ndo nakosea?
MAONO YANGU : Nadhani nI sahihi kusema
'HAKUNA KIINGILIO'...
Imekuwa ni kawaida sasa kwa haya matangazo ya burudan kwenye redio au televisheni huwa wanataja mambo yao..ikifika sehemu ya gharama(kwa matangazo kadhaa siyo yote) husikika(mtangazaji wa tangazo) husema 'KIINGILIO NI BURE'...
Hivi hii lugha fasaha kwel?au mimi ndo nakosea?
MAONO YANGU : Nadhani nI sahihi kusema
'HAKUNA KIINGILIO'...