Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,683
- 79,112
Mhasibu fekiZiandaliwe tuzo jf
Hu uzi utashinda tuzo ya
Uzi bora uliokimbiwa na mwanzishaji😂
Mhasibu fekiZiandaliwe tuzo jf
Hu uzi utashinda tuzo ya
Uzi bora uliokimbiwa na mwanzishaji😂
🤣🤣🤣🤣 Hii nimeielewa aiseeMwasibu mpuuzi huyu. Huko kazini kwake kama kweli ni mhasibu, basi hiyo kampuni au shirika limeajiri mbumbumbu
Muda ni mwalimu Mzuri Sana, hatimae kaburi linaendelea kufufuliwa kila baada ya mechi ya YangaMkuu Huwa haujifunzi tu Kwa nyuzi zako za aina hii??
Mara zote zimekuwa zikikuumbua na ushahidi upo humu jukwaa..
Muda ni mwalimu mzuri tutakuja kufukua hili kaburi
Kwahiyo huyu ndio OKW BOBAN SUNZUMwasibu akiwa anatoka kwenda kazini😂
Mpaka anyooke mwasibu feki huyu.Wewe nani kakuambia tunamuandama?
Sisi tunamuandama au aziz k ndio anamuandama?
Uzi unasema hasara ya yanga kumsajili aziz ki
Hajasema wana jf
Sisi kazi yetu ni kumkumbusha yale aziz ki anafanya!
Anajiandama mwenyewe kwa ujinga wake
Ukiwa mzembe kufikili utaadhibiwa kwa uzembe wako
Mkomage kuandika vitu kwa mihemko
Jamaa anadharirika kila siku kwa umbumbumbu wakeMpaka anyooke mwasibu feki huyu.
Ni kukaanga tuuMpaka anyooke mwasibu feki huyu.
Eeeh😂Ndio wale walioenda shuleni kusomea ujinga. Siku hizi wanaitaga degree za chupi
Hili ni fundisho, JF siyo sehemu ya kuleta ujinga ujinga na kuandika nyuzi za kimang'aa.Sawa, ila sioni mantiki ya kumshambulia huyu bila kuchoka, jambo haliishi. Kakosea kama wengine wanavyokosea.
Mmekomaa nae kama kaiba mke wa mwana Yanga.Hili ni fundisho, JF siyo sehemu ya kuleta ujinga ujinga na kuandika nyuzi za kimang'aa.
Bado hujasema, usichokijuwa huyu alifikia hatuwa ya kuweka Uzi wa takwimu za Mayele Vs Kibu Denis.Watu wengi huandika makala za kutabiri makosa ya kusajili na hukosea either kwa mchezaji kufanya vizuri au vibaya tofauti na alivyotabiri. Sioni sababu ya kumwandama OKW baada ya kukosea utabiri wake.
Hahaha, haya boss. Pambaneni naye.Bado hujasema, usichokijuwa huyu alifikia hatuwa ya kuweka Uzi wa takwimu za Mayele Vs Kibu Denis.
Salama yake ni Mayele kuondoka Yanga ndio ameachwa apumuwe, ilikuwa kila Mayele akitetema tunamuwekea takwimu kwenye Uzi wake.
Yani jitu linalotumia maguvu bila akili kama Kibu Denis umfananishe na Mayele wa Yanga ni kuukosea adabu Mpira wa miguu.
Huyu Acha anyooshwe mpaka anyoroke.
Yawezekana ila hatumii akili anatumia mahaba kwa timuHivi mna uhakika huyu ni muhasibu? Ana akili za kindezi sana
Huyu amazidiWatu wengi huandika makala za kutabiri makosa ya kusajili na hukosea either kwa mchezaji kufanya vizuri au vibaya tofauti na alivyotabiri. Sioni sababu ya kumwandama OKW baada ya kukosea utabiri wake.
Huyu mhasibu ni moja ya watu ktk list naowaona ni bogus kabisa kwa nyuzi zakeBado hujasema, usichokijuwa huyu alifikia hatuwa ya kuweka Uzi wa takwimu za Mayele Vs Kibu Denis.
Salama yake ni Mayele kuondoka Yanga ndio ameachwa apumuwe, ilikuwa kila Mayele akitetema tunamuwekea takwimu kwenye Uzi wake.
Yani jitu linalotumia maguvu bila akili kama Kibu Denis umfananishe na Mayele wa Yanga ni kuukosea adabu Mpira wa miguu.
Huyu Acha anyooshwe mpaka anyoroke.
Mzee wa mukoyogo kakaa mbaaliiAstaghafirullah Cc adriz njoo huku kaka Kuna risiti hapa😂🤣😁😁😁 View attachment 2931887