huyu jamaa anadanganyika pale anaposikia 'wabunge vijana' kama Mnyika, Zitto, Lema, Wenje, Mdee nk na kudhani kuwa naye anaweza kujiunganisha humo. Hajui kuwa yeye ni kidimbwi cha kuchezea watoto wa U-7 (chini ya miaka saba) alafu wenzie ni level ya mito, maziwa na hata bahari! Kwamba alipata ubunge baada ya watu potential kama Lucas Serilii na mizengwe kwa ndugu yetu 'Msomali'Tangu lini mwana CCM akaweza kufanya maamuzi kama alivyoahidi?
wiki iliyopita tuliambiwa kuwa Mh. Kigwangala baada ya kushauriana na watu wake wa karibu angefanya maamuzi siku ya jumanne, ambayo ni jana. Mbona kimya? ameghairi? Je, kuna taarifa zozote za maamuzi yake hayo?
Unasubiria meli airport???