Mamshungulii
Senior Member
- May 3, 2023
- 132
- 66
Mungu atunusuru,wengi wao wamekimbilia mikoani kuwa wadada wakazi na machinga...
Wamejazana mitaani wakiuza chai na mitumba..wengine wanadeki na kuosha vyombo mijini tu..
Yaani kigoma,ukerewe,kagera,na visiwa vyote vya kanda ya ziwa ...ilo ni tatizo
Wamejazana mitaani wakiuza chai na mitumba..wengine wanadeki na kuosha vyombo mijini tu..
Yaani kigoma,ukerewe,kagera,na visiwa vyote vya kanda ya ziwa ...ilo ni tatizo