JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,261
Heshima mbele wadau,
kwa mara nyingi nimekuwa nikifuatilia siasa na wanasiasa wa Tanzania na hasa huyu kijana mwenzetu Mh. Zitto kabwe, huyu mh ambae pia ni naibu katibu mkuu wa chadema mara nyingi amekuwa anajishughulisha na mambo yake binafsi bila ya kukumbuka wananchi wa kigoma kaskazini ambao kwa kiasi kikubwa ndio wamefanikisha kufanya yeye awepo hapo alipo, tuchukulie mfano mdogo, hivi karibuni tumesikia kuwa anaelekea ughaibuni kufanya Phd ambayo ni kitu kizuri kwake binafsi na ambacho akina maslahi kabisa kwa wananchi wake waliomchagua!! katika kipindi hicho atakapokuwa masomoni nani atakuwa muwakilishi wao?? sasa swali ambalo lipo ni kuwa wananchi wake wana sababu ya kuendelea kumchagua kuwa mbunge wao kwa kipindi kingine
SOURCE
JAMBO TANZANIA
kwa mara nyingi nimekuwa nikifuatilia siasa na wanasiasa wa Tanzania na hasa huyu kijana mwenzetu Mh. Zitto kabwe, huyu mh ambae pia ni naibu katibu mkuu wa chadema mara nyingi amekuwa anajishughulisha na mambo yake binafsi bila ya kukumbuka wananchi wa kigoma kaskazini ambao kwa kiasi kikubwa ndio wamefanikisha kufanya yeye awepo hapo alipo, tuchukulie mfano mdogo, hivi karibuni tumesikia kuwa anaelekea ughaibuni kufanya Phd ambayo ni kitu kizuri kwake binafsi na ambacho akina maslahi kabisa kwa wananchi wake waliomchagua!! katika kipindi hicho atakapokuwa masomoni nani atakuwa muwakilishi wao?? sasa swali ambalo lipo ni kuwa wananchi wake wana sababu ya kuendelea kumchagua kuwa mbunge wao kwa kipindi kingine
SOURCE
JAMBO TANZANIA