Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 302
Jengo la Victoria House lililopo pembeni ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini, Dar es Salaam linalomilikiwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ambalo Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Patrick Rutabanzibwa alisema jana kuwa kigogo mmoja wa shirika hilo anajinufaisha nalo.