Uhusiano upo sanaaaaa tu mkiwa na njaa na mapenzi yanaondoka, utakuwa unawaza pesa tu ukijumlisha na njaa hata nanii kusimama itakuwa shida na mwanamke siku zote anataka security
Tuache kuwasingizia dada zetu,
Sijawahi kusikia msichana anauliza mshahara wa mchumba wake!
Atafahamu uwezo wako automaticaly kutokana na possesions zako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.