Wakuu,
Kama mnavyojua Serikali ya awamu na nne ina mpango wa kujenga Kigamboni new CITY ili kuleta sura mpya ya JIJI la Dar es salaam.
Nimesoma soma bajeti sijanusa ndani yake kama kuna mpango huu wa Kigamboni new CITY kwenye bajeti hii vipi? au pesa zake hazitapitia bungeni zitakuja moja kwa moja kuanza mradi? hata hili daraja nilisikia NSSF wanajenga ila bado hatujaona nondo wala mfuko wa siment ukipelewa site kulikoni.
Si chokochoko ila mwenye full info naomba anijulishe kwa faida ya wana kigamboni wenzangu. Tunausubiri mradi huu kwa hamu kubwa, ila njisi serikali inavyokuwa na usiri kuhusu mradi huu na ndivyo mradi huu unavyozidi kuwa na ugumu kuutekeleza ukizingatia wananchi wanazidi kuongezeka katika eneo husika na kuendelea kujenga makazi yasiyo rasmi.
nawakilisha.
Yote yawezekana kwa yeye atutiaye nguvu:
Kama mnavyojua Serikali ya awamu na nne ina mpango wa kujenga Kigamboni new CITY ili kuleta sura mpya ya JIJI la Dar es salaam.
Nimesoma soma bajeti sijanusa ndani yake kama kuna mpango huu wa Kigamboni new CITY kwenye bajeti hii vipi? au pesa zake hazitapitia bungeni zitakuja moja kwa moja kuanza mradi? hata hili daraja nilisikia NSSF wanajenga ila bado hatujaona nondo wala mfuko wa siment ukipelewa site kulikoni.
Si chokochoko ila mwenye full info naomba anijulishe kwa faida ya wana kigamboni wenzangu. Tunausubiri mradi huu kwa hamu kubwa, ila njisi serikali inavyokuwa na usiri kuhusu mradi huu na ndivyo mradi huu unavyozidi kuwa na ugumu kuutekeleza ukizingatia wananchi wanazidi kuongezeka katika eneo husika na kuendelea kujenga makazi yasiyo rasmi.
nawakilisha.
Yote yawezekana kwa yeye atutiaye nguvu: