Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Naona inakuwa mazowea ya kutoa kila mtu kujiona alifikirialo ni sahihi. Chama cha Demokrasia na Maendeleo kifupi chake ni CHADEMA, hii ipo kwenye katiba yao sasa pana WATAALAMU uchwala wanaotoa ufupisho mwingine wa CDM. Mie najiuliza WAASISI wa CHADEMA hawakuliona hilo???????????