Kifuatacho arumeru mashariki?nashukuru mungu tulimaliza msiba salama salmin na sasa napenda kufaham what next? Wana jf naomba kuwasilisha hoja binafsi...
Tatizo wachangiaji hapa si wapiga kura wa Arumeru Mashariki. Tunatamani na tunataka kuona 'sisiemu' ikipoteza jimbo hilo. Maoni yangu kwa wanamageuzi hapa JF ni tutafute nafasi tutembele jimbo la Arumeru mashariki wakati wa kampeni
hakuna shaka chadema arumeru wanakubalika mpaka mw/wa kijiji wala sina khofu sisi hapa arusha tumeshafanya tathmini hapo meru na kugundua magamba hawana lolote pale
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.