zinduna c kitu mkuu! Kimweka na Funzadume ni noma kaka!!!!!hahah wala simmiss,Zinduna yupo kuendeleza libeneke lol
funzadume yupo usijali. kwani umekosa nini mbona naona kuna picha zake kibao hujacomment? kuna project anamalizia. mia
duh! Amalize tu na arudi,kibweka naye vp? Mlio dar mpitie kwa wahanga wa mafuliko mnaweza mkuta huko wakuu!funzadume yupo usijali. kwani umekosa nini mbona naona kuna picha zake kibao hujacomment? kuna project anamalizia. mia