St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,637
- 4,521
Kuna mtu kanijia analia kapigwa kibuti na GF wake,nikamshangaa yaani kibuti tu ndio unalia mbona wako wengi tafuta mwingine maisha yaendelee,jamaa akaniambia kinachomuuma sio kuachwa ila ni vile alivyoupokea ujumbe huo.Umbea ukanishika enhee amaekuachaje ..?? Ananiambia kaletewa barua iliyoandikwa kwenye Toilet paper kisha toilet paper hiyo ikatumika kujiswafi kunako kisha ikawekwa katika bahasha ni kutumwa kwa muhusika.Nikajiuliza mh hivi vibuti ni vya aina aina kumbe...Nisaidieni wadau nivijue zaidi,wewe umeshawahi kupiga au kupigwa kibuti gani cha dharau....