Best Daddy
JF-Expert Member
- Apr 2, 2019
- 774
- 1,294
Tukiwa tunaelekea kwenye maadhimisho ya wana-lunyasi "Simba Day 2023" basi matukio na hisia tofauti zimeanza kuipamba siku hiyo.
Kati moja ya matukio hayo, basi ni yale aliyoya-eleza Kibu D, anaenda kwa jina la "Kibu Mkandaji", jina ambalo lilipata umaarufu baada ya kuwakanda Wananchi April 16, 2023.
Anasema:
" .....Ni kweli nilikua na nafasi ya kutoa pasi kwa mchezaji mwenzangu, ila nikai-ambia akili yangu hapa napiga, hapa nalenga lango, basi na kweli mpira ukakubali nikatuma kombora, ila ndugu yangu(Mdaka mishale) alijaribu ila waaapi?
Akaendelea kusema;
Angethubutu(angaleta kiherehere) cha kudaka, basi hadi sasa angekua kwao Mali anajiuguza maana ule mshale ulikua wa moto sana".
Mwisho amewakaribisha watanzania kujitokeza katika Tamasha la Simba huku akichagiza kuwa huko Uturuki anaona watu waona wachezaji wa Simba wenye U-Messi, Messi. Pia, Watanzanzia wajiandae na pira "Uturuki".
(Nime-attach video yake pia)
Kati moja ya matukio hayo, basi ni yale aliyoya-eleza Kibu D, anaenda kwa jina la "Kibu Mkandaji", jina ambalo lilipata umaarufu baada ya kuwakanda Wananchi April 16, 2023.
Anasema:
" .....Ni kweli nilikua na nafasi ya kutoa pasi kwa mchezaji mwenzangu, ila nikai-ambia akili yangu hapa napiga, hapa nalenga lango, basi na kweli mpira ukakubali nikatuma kombora, ila ndugu yangu(Mdaka mishale) alijaribu ila waaapi?
Akaendelea kusema;
Angethubutu(angaleta kiherehere) cha kudaka, basi hadi sasa angekua kwao Mali anajiuguza maana ule mshale ulikua wa moto sana".
Mwisho amewakaribisha watanzania kujitokeza katika Tamasha la Simba huku akichagiza kuwa huko Uturuki anaona watu waona wachezaji wa Simba wenye U-Messi, Messi. Pia, Watanzanzia wajiandae na pira "Uturuki".
(Nime-attach video yake pia)